Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Tomba kojoa,tia mimba,tafuta hela mengine kuna chupa za serengeti akajichokonoe huko afurahi muda mchache sana siku hizi.
 
Mbali ya kuwa mwenyekiti wa kataa ndoa PIA wewe ni mwanzilishi na mtetezi wa wenye vibamia DUNIANI.
Lazima wenye vibamia tuwe na umoja wetu....mkombozi wetu ni ndalama tuu. Wanaweza kusimanga vibamia vyetu lakini mbele ya ndalama lazima wavikalie.

Mie sio mtu wa kukataa ndoa mzeya.
Nisiwadangaye masela wangu. Mwenzenu nikipata demu mpenda kibamia na atakaye weza vumilia under performance yangu kitandani naoaaaaa na wala msinitizhe suala la mke wangu kuchepuka kugegeda na de liboloz hilo nilishalikubali
 
Wewe shida yako ni uume ukiwa umelala, unavoona kalivyo kadogo basi unapata wenge.
Ila hiyo 5.6" mbona ni average mzee nani alokwambia lazima uwe na 8"?? porn zinakuharibu kijana.

Tatizo la uume mdogo huna ila una hilo la nyeto na kutojiamini.
 
Wewe kinachokusumbua ni kuathirika kisaikojia tu, kwa hicho kipimo ulichotaja hapo ikiwa imesimama (nchi 5'6) unawezaje kukosa kujiamini kiasi hicho.?

Kama mwenye nchi 6 ni rijali na mwenye uume wa kuaminika usiotiliwa mashaka, hiyo 5'6 inawezaje kuwa tatizo?

Urefu hauna shida huo, labda kama unene wake ni kama kipisi cha sigara.

Ili kurudisha hali yako ya kujiamini jaribu kutongoza mabinti wadogo ambao hawajakubuhu sana kwenye mapenzi (19-20).
 
Tuko pamoja achana na maneno ya wahuni. Misinformation ni kitu kibaya sana na hatari. Jikubali kula maisha. Maisha yenyewe mafupi sana haya ndugu yangu.
Mwamba wew umelinganisha na nani ukaona chako ni kibamia? Kuanzia 6.6" na kuendelea ni abnormal. Kuanzia 4.5" -6.5" ni normal. Chini ya 4 ndio vibamia. Tafuta demu umtie adabu utanishukuru badae
 
Back
Top Bottom