Nina kibamia nahitaji Msaada wenu

Mkuu, hicho usemacho kibamia kiki erect kina sm ngapi length na diameter ni ngapi?
 
Mkuu kipo Kama chamtoto vile hadi kukitoa ni aibu mana utachekwa hadi utasononeka mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kunamabonge wengine nizaidi ya noma kunammoja nilikutananae basi ile kuweka dushe kunako nikahisi limepotea maana haliku-sense chochote huko ndani
Hahahaaa! Lol!!! Unanitisha mkuu ndio mana naogopaga kuingia katika mahusiano coz naogopa kutangazwa na kuzalilishwa ju ya hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAFUTA WANAWAKE WANENE HAWA NDIO SAHIZI YAKO KWAKUWA HUWA UKE MDOGO SANA ILA WEMBAMBA HUWA WANA MABWAWA WATAKUSHINDA
 
Man well, tafuta hela. Dushe haionekani, watakutafuta ukiwa na hela.

Na ukiwa na hela, utaridhika tu, hata kama hujala, utajihisi umeshiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…