nina kifurushi cha data (MBs) na dakika nyingi kwenye simu yangu, jinsi ya kuvitumia kuniingizia pesa

nina kifurushi cha data (MBs) na dakika nyingi kwenye simu yangu, jinsi ya kuvitumia kuniingizia pesa

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
 
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
Uza hizo GB
 
Nakupa hii, japo itakuingizia fedha inderect na inaweza chukua muda mrefu.

Kama wewe ni mwana taaluma fulani tumia hizo data zako kuongeza maarifa kupitia mtandao kama youtube.na mingine mingi.

Baada ya hapo apply katika shughuli zako za kila siku ili kujiongezea thamani katika shughuli unayoifanya.

Kila la kheri...
 
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
Kuna YouTube + Google.
Surf humo kuongezea maarifa kile ufanyacho.

Yaani hiyo kazi ufanyayo pitia humu kujua wengine wanafanyaje ili uongeze maarifa.

#YNWA
 
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna gani ninaweza kuzitumia kuingiza pesa.
Gb 5 kwa mwezi ni ndogo sana.. fanya haya..

1. Kama unatumia airtel unaweza mtumia mtu mwingine akazitumia.

2. Unaweza zitumia ku download tutorials mbalimbali za vitu unavyo penda kujifunza! Ujuzi utakao pata utakusaidia kupata pesa.
 
Na tunaotumia 10 Gb kwa mwezi tusemaje
IMG_20211219_162140_003.JPG
 
Hata Mimi nimeshangaa,Mimi kwa mwezi natumia GB 8 bila kuingia yuo tube Wala Facebook,huyu yeye 5 GB anataka tusilale

[emoji849][emoji849][emoji849]
Mimi nimefuta Instagram na telegram na tik tok..
Kila siku najiunga bando la wiki la halotel la MB 600
 
Back
Top Bottom