Nina kipaji cha kuchoma hela niamishiwe wizara ya fedha.

Nina kipaji cha kuchoma hela niamishiwe wizara ya fedha.

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mimi hata ukinipa million 5 sasa hivi siwezi kujibania lazima ipigwe kiberiti kazi ya Hela sio kuwekwa chumbani au kuhifadhiwa.. Unajenga nini lijumba kubwa wakati una mwili mdogo we huoni wazungu hata vitanda vyao vidogo.. Nipelekwe BOT pale nikachome hela nitakuwa mwaminifu sitatoka na pesa chakavu.
 
Mimi hata ukinipa million 5 sasa hivi siwezi kujibania lazima ipigwe kiberiti kazi ya Hela sio kuwekwa chumbani au kuhifadhiwa.. Unajenga nini lijumba kubwa wakati una mwili mdogo we huoni wazungu hata vitanda vyao vidogo.. Nipelekwe BOT pale nikachome hela nitakuwa mwaminifu sitatoka na pesa chakavu.

Ndo unaamka shehe?
 
Love money
But not spend it unwisely

Ur still in survival mode= don't impress people while you know you suffering inside and starving mentally.
 
bangi bangi bangiiiii,♫︎♫︎♫︎♫︎♫︎
umenifanya nkutoroke♫︎♫︎♫︎♫︎♫︎
 
Mleta mada veri suni utapata mume.Endelea na tabia yako.

Biliv me))
 
Back
Top Bottom