Nawashukuru Sana
Member
- Dec 11, 2024
- 94
- 240
Wakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.
Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.
Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi
Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi
Wapo wenye mtindio wa ubongo.
Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.
Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .
Miundombinu ipo vizuri
Kipo mikocheni
Karibu Kwa mawazo na ushauri .
Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150
Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .
Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.
Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi
Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi
Wapo wenye mtindio wa ubongo.
Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.
Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .
Miundombinu ipo vizuri
Kipo mikocheni
Karibu Kwa mawazo na ushauri .
Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150
Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .