Nina kituo kinacholea na kusaidia watoto wenye mahitaji maalumu, nilikuwa naomba kujua njia za kupata wafadhili ili kusapoti kituo changu

Nina kituo kinacholea na kusaidia watoto wenye mahitaji maalumu, nilikuwa naomba kujua njia za kupata wafadhili ili kusapoti kituo changu

Anza kwa Mwampesa, kuna sadaka nyingi kule zitasogeza sogeza kituo.
 
Hivi mnadhani kutunza watoto wenye ulemavu aliosema ni kazi rahisi? Wengine hata uwalipe mshahara mzuri watakataa kufanya hiyo kazi. BTW kazi kama hiyo inahitaji usaidizi wa watu wengi, hivyo huwezi kuepuka kuomba misaada. La muhimu ni watoto kupata matunzo yenye kiwango kinachotakiwa, haya ya yeye anafanya kwa malengo gani siyo muhimu. Chawa wa mama Samia kama kina Steve Nyerere au wale waliopelekwa Korea ambao wanamaliza kodi zetu bila kufanya kazi yoyote na huyu anayetaka kuingiza kipato kwa kusaidia walemavu ni nani mbaya? Huyu kama watoto watapata matunzo mazuri hata kama lengo lake ni biashara ni heri mara mia kuliko hiyo mi-chawa ya hovyo kabisa inayomaliza kodi za kutunza walemavu kwa starehe.
Wewe mpuuzi acha kutetea ujinga. Inashauriwa usijifanye mkristo kuliko kristo mwenyewe. Kama huna uwezo kwanini uwakusanye walemavu huku ukijua watateseka zaidi? Asaidie kulingana na uwezo wake. Watu wenye wito huanza wenyewe kwanza kisha misaada hufuata. Kule Arusha kuna mzee alianzisha Athletics Club kwa kushirikiana na mkewe kwa kile walichojaliwa... mwanzoni ilikuwa ngumu mno... yule mama ndo alikuwa mpishi wa wale vijana... toka mwaka 1997 walikuja kupata ufadhili miaka kadhaa baadae. Kwa hiyo hata mleta uzi ajue kabisa kikawaida mwanzoni inabidi apambane. Watu wakiona anachokifanya watamsapoti.
 
Wakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.

Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.

Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi

Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi

Wapo wenye mtindio wa ubongo.

Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.

Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .

Miundombinu ipo vizuri

Kipo mikocheni

Karibu Kwa mawazo na ushauri .

Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150

Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .
Hainiingii akilini umekuwa na plan haikuwa na wapi utatoa pesa??

kwa mushingo upaande, asante bakusaidia batoto ya kesho, kwa mupande mingine, hii haina diferension na kuchota muakili ya watu kwa kutumia munjia ya mukichwa.
Ethos, Pathos,Logos

Muhumu banatumia Pathos.
Akimaliza banawatukana🫠🫡
 
Wewe mpuuzi acha kutetea ujinga. Inashauriwa usijifanye mkristo kuliko kristo mwenyewe. Kama huna uwezo kwanini uwakusanye walemavu huku ukijua watateseka zaidi? Asaidie kulingana na uwezo wake. Watu wenye wito huanza wenyewe kwanza kisha misaada hufuata. Kule Arusha kuna mzee alianzisha Athletics Club kwa kushirikiana na mkewe kwa kile walichojaliwa... mwanzoni ilikuwa ngumu mno... yule mama ndo alikuwa mpishi wa wale vijana... toka mwaka 1997 walikuja kupata ufadhili miaka kadhaa baadae. Kwa hiyo hata mleta uzi ajue kabisa kikawaida mwanzoni inabidi apambane. Watu wakiona anachokifanya watamsapoti.
Kwanza tufafanue maana ya neno ''mpuuzi''. Mpuuzi ni mtu anayejaza ma-chawa kwenye ndege na kuwapeleka nje ya nchi kwa gharama za kodi wakati kuna kina mama hawana hata gloves za kutumika wakati wanajifungua na wakiuliza wanaambiwa wakazalishwe na waume zao. Baada ya hapo turudi kwenye mada: huyu mtu anatakiwa support kwa sababu ameshajitoa kujenga na kuweka miundo mbinu na kituo kimeshaanza shughuli. Ila kwa sababu akili zako zinawaza kula tu hili hukuliona kwenye bandiko lake.
 
kama hakujiandaa kwa jambo dogo kama la kuwalisha mwenyewe na kuwahudumia mwenyewe hata kwa mwaka mmoja au miwili basi atakua mpuuzi
Walipa kodi wa marekani ndio tunatakiwa tule hela zao
 
Kusaidia mtu bila kufaidika ujue nayo ni kazi 😅😅😅 ukiwa mdhoofu huwezi pata mfadhili.
😁😁 tatizo promo za kuguswa na matatizo hadi kulia. Mhisani anaingia kingi kwa kuamini kuwa mwenye NGO yupo genuine kumbe watu wapo location

Ila yote kwa yote, watu wema bado wapo
 
Kwanza tufafanue maana ya neno ''mpuuzi''. Mpuuzi ni mtu anayejaza ma-chawa kwenye ndege na kuwapeleka nje ya nchi kwa gharama za kodi wakati kuna kina mama hawana hata gloves za kutumika wakati wanajifungua na wakiuliza wanaambiwa wakazalishwe na waume zao. Baada ya hapo turudi kwenye mada: huyu mtu anatakiwa support kwa sababu ameshajitoa kujenga na kuweka miundo mbinu na kituo kimeshaanza shughuli. Ila kwa sababu akili zako zinawaza kula tu hili hukuliona kwenye bandiko lake.
Najitahidi kujishusha kwenye level ya ujinga wako ila bado unakaza fuvu.
 
Uliazishaa kwa madhumuni gan??... Kama kusaidia Mungu akubaliki ilaa kama kupigaa helaa za misaaada the rest is history... maaana nmeona sehem nying watu wanaazisha center hizo kwa ajili ya MAOKOTO tuu...... Anyway make affiliation with churches..
Na ndio lengo lao hawa watu
 
Kutumia madhaifu ya watoto kupiga pesa ni dhambi kama ulikua huna uwezo ulianzisha cha nini.punguza idadi ya watoto baki na unaowamudu kwa gharama zako
 
Wakuu noamba Muongozo wa kupata wafadhili katika kituo changu Ambacho kinahudumia watoto wenye mahitaji maalumu.

Kituo hiki kipo Mikocheni, ndo kimeanzishwa hivi karibuni.

Je, naomba kuuliza nitapataje wafadhili wakukisapoti kituo changu ili kikue na kuwafikiwa watoto wengi zaidi

Wapo walemavu wa viungo
Wapo wenye Usonji
Wapo vipofu
Wapo viziwi

Wapo wenye mtindio wa ubongo.

Kutokana na gharama za uendeshaji kuwa juu ningependa kupata sapoti na back up kutoka Kwa wafdhili mbali mbali ili kuhakisha tunahudumia watoto wengi zaidi.

Kituo hiki kina Nyumba za kulala watoto zipo .

Miundombinu ipo vizuri

Kipo mikocheni

Karibu Kwa mawazo na ushauri .

Kuhusu idadi ya watoto inafika 50 Ila kituo kinategemea kuweza kua-Accommodate watoto 150

Facilities zote na recreation pamoja na madarasa zipo .

Trump akikusikia😂
 
Kama kituo kinatambulika omba ufadhili wa Serikali yetu.

Pia wapo wenye pesa zao pia wanaweza kukupa support.

Je, watoto wapo boarding au day?

Utunzaji wa watoto hao ni gharama mno.
 
Back
Top Bottom