Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kopesha kwa riba.Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.
Mdogo wangu hio sio hela ya boom kweli? Usijitese maisha mafupi haya.
Kwa sasa kama umechagua kusoma ni bora usome vzr, kula vizuri, tengeneza linkedin profile. Ukienda likizo tafuta sehemu fanya internship. Hio itakusaidia ukimaliza tu chuo tyr una kazi moja kwa moja.
Fanya hvo kama kweli unachukia umasikini. Biashara za laki sita sita utaishia kupoteza hio yote.
@Hornet nipm nipate mawasiliano yako kuna jambo la msingi nimekutafuta sana!Wa kujipaka
Wadada wa Chuo wanapenda weupe kuliko kula
Wanunuzi wazuri wa mikorogo na vidonge
Kwamba aache chuo kisa laki 6! InterestingNjoo nayo kitambaa cheupe bar, nitakuelekeza namna ya kutumia,Kuna pisi zitakupa ushauri[emoji23]au ngoja nimalize hapahapa
Laki sita ni nyingi mbona,
Kama unaweza kutembea achana na masomo
1.Chukua toroli, jaza matunda kama ndizi, nanasi, maembe, matango, n k, kabla hujafanya hivyo tafuta mtu ambaye anafanya kazi hiyo, akupe utaratibu, utanunua shilling ngapi unauza shiling ngapi.
2.Nenda karume au ulizia machimbo ya viatu kariakoo, chukua pairs kadhaa ingia nazo mtaani, kumbuka kuwa makini.
3.Nunua begi kubwa, jaza makava ya simu na protectors ,chaja za simu ingia nazo mtaani, huku nyingine ukishikilia mkononi.
4.Ingia machimbo, ya spana na baadhi ya vifaa vidogo vidogo, kama stickers, Stering covers, mchawi foleni au kwenye yards za magari makubwa.
5.Urembo,Boxers za kiume, saa za mkononi , cheni,bangili , n. K Cha muhimu kufanya utafiti kidogo kabla hujanunua.
Zipo biashara nyingi sana kwa mtaji wako kama kianzio, ila kikubwa biashara haikosi changamoto.
Zingatia kuwa na lugha nzuri kwa wateja, maana mwingine anajua kiatu hiki akienda chimbo ni 10,000 tu iweje umuuzie 15000?
Zingatia usafi wa mwili na mavazi, kuwa smart na unukie .
Omba MUNGU kwa kila hatua.
Kila la kheri.
Kwahiyo laki sita kama una laptop tayari unaweza ukaenda kuchukua printer mpya ambayo inauwezo wa kuprint, scanning, na kutoa copy ipo EPSON yenye uwezo wa hivyo.Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.