Nina laki sita, nifanye biashara gani?

Nina laki sita, nifanye biashara gani?

Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.

Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.

Karibuni.
Kama upo vyuo vya Dar, uza nguo kama vile Tshirts, boxers, mashati, kadets etc. Hiyo hela inatosha kabisa kama una muda.
Unaweza pia ukaamua kuuza kalamu, madaftari na karatasi kwa wanafunzi wenzako.
Hiyo hela sio ndogo. Kila kiasi cha pesa inaweza kuanza biashara.
 
Kama upo vyuo vya Dar, uza nguo kama vile Tshirts, boxers, mashati, kadets etc. Hiyo hela inatosha kabisa kama una muda.
Unaweza pia ukaamua kuuza kalamu, madaftari na karatasi kwa wanafunzi wenzako.
Hiyo hela sio ndogo. Kila kiasi cha pesa inaweza kuanza biashara.
Ahsante
 
Mimi nakushauri uza nguo za ndani za wadada hapo chuo na vi urembo utembo kama vimdoli vya kwenye mabegi au funguo na cover za simu. Ila chonde chonde usikopeshe au ukaanza kuwala kimasihara maana utapata anguko kubwa sana.

Ukiona.hiyo biashara ni miyeyusho fanya biashara ya kuuza short za pombe kali hapo hapo chuo watu waingie kufanya presentesheni wakiwa bwax, wape wana comfidenc Mkuu.

Ila uza short za pombe za maana sio vitoko au diamond hizo achana nazo wewe uza short za Jack D na ndugu zake ukishuka sana basi iwe K-Vant aise hii bizness utapiga pesa safi sana niamin mimi. Ila sasa usianze kulewa na wewe wala usikopeshe.

Mwisho wa yote kasikilize Ten Crank Commandment by BIG Notorious. Then ishi na hizo amri.10 utatoboa na class utazama kama kawa na GPA nzuri utatoka nayo hapo Chuo.

Kila la kheri Mpambanaji
 
Biashara za chuo kichefuchefu wengi wanaofanya hawafiki mbali, inahitaji akili kubwa na muda mwingi kitu ambacho wengi hawana.

Nilisoma chuo x cha Engineering.

Biashara niliyojikita ilikua ni service za ku unlock simu, kipindi hicho huawei na vodafone zinauzwa sana na mitandao ya tigo na voda.

Nilikua nanunua NCK codes huko ebay nakuja fungulia simu hawa wateja zangu, nilipata pata kiaina ila sio ela ya maana sana pia sio haba, pia niliweka matangazo sehemu kibao.

Hiyo ilikua mwaka wa kwanza.

Mwaka wa mwisho nikawa nafanya project za wanafunzi nilifanyia kama wanafunzi 12 tu, nilikusanya kama 2.2m ila ni kazi ngumu sana tension kubwa ukizingatia na masomo, na bado project yangu binafsi sikuweza kumalizia, ila mwisho wa siku ile pesa ilikuja kuzaa jambo jingine nje ya chuo, ambayo nahangaika nayo mpaka leo.

Kwa hiyo nilianzisha biashara nyingine kwa faida niliyotengeneza chuo.

Angalia kitu unaweza fanya kwa moyo, fanya vitu unique ndio silaha kuu, penda kujifunza mambo mapya na usiweke pesa mbele hakika utafunguliwa.
 
Kuna chalii mmoja nlikuanga namuona collee..
Janki flani hv msukuma pure kbsa wa ndichi.
Mwamba alikua anauza karanga. Nafkiri alikua certificate au diploma, i never asked.
Mwamba alikua anazunguka all classes, nje kwenye vimbweta, huko kwenye mahostels e.t.c every time akiwa hana class.
Nice business language, humble u name it.
Nigga was makin racks. Ikifika jioni anaenda nunua mzigo wake, anakaanga ana upack frrenga, mornie yuko area.
Alikua anakuja na jansport imejaa by saa kumi imekata.
I thnk its a good idea kama wewe sio wale masharobaro wanaoogopa kuonekana wa kienyeji.
 
Biashara nyingi zinafeli kwa kukosa usamamizi mostly na maarifa sahihi ya hiyo biashara husika.
Kwa kuanzia hakikisha biashara yoyote unayoianzisha wewe ndio unaisimamia, hapo kwa mwanzoni.
Hapo mambo yakiharibika wewe ndio responsible na umekuwa umejifunza valuable lesson.
Tofauti na ukimpa mtu wengi wanakuwa hawana Ile commitment ambayo umekuwa nayo wewe.
Kuhusu maarifa hii inakuhusu wewe mwenye biashara ni jukumu lako kutafuta maarifa sahihi ya biashara utakayotaka ifanya.

Biashara.
1.Kwa chuoni nunua cheap laptop na printer ndogo ya hp (zile za 3 in 1, yaani photocopy printing and scanning) Anza kuprint,kutoa copy kazi za wanachuo wenzako, hii unaanzia kwenye hostel ndani ya room yako, mdogo mdogo mambo yanakwenda. Wino ukiisha unajaza ule wa kuchoma, unaua cartridge lakini mpka ife ushachoma mara kadhaa na ushapiga pesa kiasi chake.

2.Tafuta simu ndogo mbili za lakini mbili mbili tia laini tofauti Anza kuwaunganisha watu vifurushi. Cha week, cha siku, whatever it is, you are making money. Ukikua utaanza na tigo pesa, mpesa and the likes.

Ukijidediketi vizuri hizi mbili zitakupa mtaji wa kufikiria the next big thing.
 
Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.

Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.

Karibuni.
Wazo ni ww mwenyewe usifanye biashara kwa kuona mtu fulani anajifanya au kwa kuambiwa do research please
 
Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.

Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.

Karibuni.
Sendo za kimasai njoo ununue kwangu Kwa jumla uuze hutojutia inazunguka sana Tena Kwa haraka na utapata hela nzuri tu no unatoa advance halafu zingine unamalizia baada ya mzigo Keisha kama unandugu Arusha aje alone tunapo fanyia kazi aje tu hakuna shida .
 
Biashara nyingi zinafeli kwa kukosa usamamizi mostly na maarifa sahihi ya hiyo biashara husika.
Kwa kuanzia hakikisha biashara yoyote unayoianzisha wewe ndio unaisimamia, hapo kwa mwanzoni.
Hapo mambo yakiharibika wewe ndio responsible na umekuwa umejifunza valuable lesson.
Tofauti na ukimpa mtu wengi wanakuwa hawana Ile commitment ambayo umekuwa nayo wewe.
Kuhusu maarifa hii inakuhusu wewe mwenye biashara ni jukumu lako kutafuta maarifa sahihi ya biashara utakayotaka ifanya.

Biashara.
1.Kwa chuoni nunua cheap laptop na printer ndogo ya hp (zile za 3 in 1, yaani photocopy printing and scanning) Anza kuprint,kutoa copy kazi za wanachuo wenzako, hii unaanzia kwenye hostel ndani ya room yako, mdogo mdogo mambo yanakwenda. Wino ukiisha unajaza ule wa kuchoma, unaua cartridge lakini mpka ife ushachoma mara kadhaa na ushapiga pesa kiasi chake.

2.Tafuta simu ndogo mbili za lakini mbili mbili tia laini tofauti Anza kuwaunganisha watu vifurushi. Cha week, cha siku, whatever it is, you are making money. Ukikua utaanza na tigo pesa, mpesa and the likes.

Ukijidediketi vizuri hizi mbili zitakupa mtaji wa kufikiria the next big thing.
Wazo la kwanza bora sana na halina stress.
Kikubwa aunge urafiki na ma cr ili kupata notes
 
Aiseee laki sita si hela ya bia siku 2 au mim ndio nin matumiz mabaya
 
Uza cream za kujichubua kimya kimya
Bentasol
Miss mimi
Gulta white
Epidemic cream
N.k
 
Back
Top Bottom