Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Inaenda kuisha na hata elfu kumi hutakuwa nayo mfukoniWadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani nipo serious wadau naombeni ushauri wenu
Ndio niniKindege kinakuhusu.
Na ngoja kikukamue.
Ninajua ninachokifanyaInaenda kuisha na hata elfu kumi hutakuwa nayo mfukoni
Hii hapanaMkuu game zote za Arsenal weka .5 over
Sawa mkuuOdds mbili kwa wiki unabeti Mara3 tu.. J5, Jmos na jpili
Afu umekuja kuomba ushauriNinajua ninachokifanya
Nenda kwenye uzi wa betting au uwe unampa man u ashindwe asale Kila gameWadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani, nipo serious wadau naombeni ushauri wenu.
Sio ushauri wa aina hiyo naomba ushauri wa kusonga mbele sio kurudi nyuma kwani Mimi sijui Kuna kuliwaAfu umekuja kuomba ushauri
Ndio elim nliokupa mkuu.Ndio nini
SijakuelewaNdio elim nliokupa mkuu.
Hapana hamna kitu kama hicho dunianiNunua correct score zile naonaga watu wanapost million 8 wengine 6. Mfumo wao ni kuwa unanunua mkeka 160-180 kabla haujaanza then unatupia kati ya 20,000 mpaka 50,000 kwa mtaji huo ukipiga mara odds 200+ ni hela ndefu sana.
ππππππ Nakutumia link ya video uipitieHapana hamna kitu kama hicho duniani
Hizo mambo za utapeli Mimi sio wa kuja mzee ni mtoto wa dar es salaamππππππ Nakutumia link ya video uipitie