Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Cheza dog inalipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuCheza dog inalipa
Mbinu,Mwamini Yanga,Madrid na Man city tu🤣🤣 Hapo tia hata yotee.Wadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani, nipo serious wadau naombeni ushauri wenu.
Kila la heri nduguWadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani, nipo serious wadau naombeni ushauri wenu.
Kizazi ganiMungu okoa kizazi hiki
Pamoja mkuuUsi
Mbinu,Mwamini Yanga,Madrid na Man city tu🤣🤣 Hapo tia hata yotee.
Cha kubetiKizazi gani
KimefanyejeCha kubeti
Ndio ipojeNingekupa strategy ya 3/4 yaani kwenye kila mechi nne utakazoselect ziki loose tatu ndio mkeka wako unachanika.
Ila sijui kati ya Mimi na wewe nani atamwamini mwenzie maana you must pay since I suffered creating it
Ndio shida nini kwaniYani hela uliyopanga kuchezea kamari unaita mtaji?
kinachotucost ni tamaa, mimi huwa nikiweka odds 2 nakula sana ila tamaa, kwenye live hiyo hiyo kuna siku naweka odds 1000+ zinachana timu 2 au moja. Jmosi mida ya saa 10-12 jioni kwenye live game huwa ni nyingi sana, ukiweka tamaa pembeni hukosi ela.Pamoja sana mkuu nimeupenda ushauri mpambanaji
Hata biashara au kazi unayofanya wewe Mimi naiona ni ukichaa tuBet ni biashara kichaa, ile labda for Fun kama unavyoenda bar kununua pombe.
Daah kweli aiseekinachotucost ni tamaa, mimi huwa nikiweka odds 2 nakula sana ila tamaa, kwenye live hiyo hiyo kuna siku naweka odds 1000+ zinachana timu 2 au moja. Jmosi mida ya saa 10-12 jioni kwenye live game huwa ni nyingi sana, ukiweka tamaa pembeni hukosi ela.
Hapa umekurupuka ilimradi ujibu sababu huijui kazi yangu ila wote tunaijua betting. Still Betting ni for fun tu, utafute pesa kwa kufanya kazi kisha ukipata kama ni mpenzi wa soka ubet.Hata biashara au kazi unayofanya wewe Mimi naiona ni ukichaa tu
Yaani hata nisipoijua Mimi kwangu betting ndio kazi milele unayofanya wewe naiona ni ukichaa tuHapa umekurupuka ilimradi ujibu sababu huijui kazi yangu ila wote tunaijua betting. Still Betting ni for fun tu, utafute pesa kwa kufanya kazi kisha ukipata kama ni mpenzi wa soka ubet.