Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

Usi
Wadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani, nipo serious wadau naombeni ushauri wenu.
Mbinu,Mwamini Yanga,Madrid na Man city tu🤣🤣 Hapo tia hata yotee.
 
Ningekupa strategy ya 3/4 yaani kwenye kila mechi nne utakazoselect ziki loose tatu ndio mkeka wako unachanika.

Ila sijui kati ya Mimi na wewe nani atamwamini mwenzie maana you must pay since I suffered creating it
 
Pamoja sana mkuu nimeupenda ushauri mpambanaji
kinachotucost ni tamaa, mimi huwa nikiweka odds 2 nakula sana ila tamaa, kwenye live hiyo hiyo kuna siku naweka odds 1000+ zinachana timu 2 au moja. Jmosi mida ya saa 10-12 jioni kwenye live game huwa ni nyingi sana, ukiweka tamaa pembeni hukosi ela.
 
kinachotucost ni tamaa, mimi huwa nikiweka odds 2 nakula sana ila tamaa, kwenye live hiyo hiyo kuna siku naweka odds 1000+ zinachana timu 2 au moja. Jmosi mida ya saa 10-12 jioni kwenye live game huwa ni nyingi sana, ukiweka tamaa pembeni hukosi ela.
Daah kweli aisee
 
Hata biashara au kazi unayofanya wewe Mimi naiona ni ukichaa tu
Hapa umekurupuka ilimradi ujibu sababu huijui kazi yangu ila wote tunaijua betting. Still Betting ni for fun tu, utafute pesa kwa kufanya kazi kisha ukipata kama ni mpenzi wa soka ubet.
 
Back
Top Bottom