Wewe mtoto wa Dar es salaam natamani nikupe mbinu zangu au nikupe namba na password za akauntu yangu ya wasafi bet ukayaone maajabu ya mtoto mwenzio wa Dar Ila naogopa sisi watu wa huko utapeli nje nje ,usije badili akaunti yangu iwe yako mwisho nibaki kulia .
Sasa sijui nikisaidieje homeboy maana kwa huo mtaji utajiri ni kugusa kabisa ,mwenzio Sasa hivi sinywi tena pombe za kudandia ni mwedo wa zungusha kibaba maana Mimi napendelea ulanzi tu .
Sasa sijui nikusaidieje homeboy embu toa njia salama ya Mimi kutokutapeli na wewe usinitapeli nikuoneshe mbinu kwa vitendo kwenye mikeka yangu