Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

ulishawahi kuona mtaji unakuzwa kwa njia ya KAMARI?
ulishawahi kusikia mtu ana tajirika kwa njia ya KAMARI?
Ulishawahi kusikia watu waliofilisika kwa kucheza kamari?
Nina mifano mingi sana ya matajiri waliofilisika sasa hata pakulala tabu kwa kucheza kamari
KUTUMIA NENO BETTING NI KUJIFARIJI HIYO NI KAMARI KAMA NYINGINE TU
Unaongea vitu tofauti na mada naona kama umechanganyikiwa Fulani hivi
 
Dili na timu hizi

Simba
Yanga
Azam
Real Madrid
Man City
Arsenal
Barcelona
 
Kila yanga akicheza mpe ushindi hisipokuwa akicheza na simba au azam.
Kila simba akicheza mpe kushinda hisipo kuwa akicheza na yanga au Azam
Kila Madrid akicheza mpe kushinda hisipo kuwa akicheza na Barcelona
Kila Barcelona akicheza mpe kushinda hisipo kuwa akicheza na madrid.
Fanya hvyo kwa timu kubwa kwenye ligue kubwa kwa kuwapa wale wakubwa mawili kila league. N:B usiweke pesa yote tumia laki mbili utengeneze odds 4 au tatu za wakika kila siku.
 
Back
Top Bottom