Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

Nina laki tano mtaji kwenye betting naitaka milioni 10 mpaka mwakani

Pole,mimi ni joker ila sikushauri UFANYE UPUMBAVU HUO.hyo hela ndogo sana unaweza kuchoma ndani ya dakika 10.achana na hyo biashara.
Wewe ambaye hujafanya hivi na unanipa pole una utajiri Gani mpaka Sasa hivi
 
Wewe ambaye hujafanya hivi na unanipa pole una utajiri Gani mpaka Sasa hivi
Hyo ni payment history yangu ndogo tu ya parimatch.unaweza kufika huko? Si utakuwa chizi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240731_184356_Parimatchtz.jpg
    Screenshot_20240731_184356_Parimatchtz.jpg
    185.9 KB · Views: 16
Wauzaji wa sure odds ni matapeli waliochangamka.
Kama elfu 7 wanakuambia ni uhakika utapata million 12 kwanini wenyewe wasiweke elfu 70 wapate millioni 120?
Wale wateja wao wakubwa ni wajeda na police kwakuwa wamewaona wengi ni zero brain
Dah we jamaa😂😂😂
 
Bet kama hivyo. Hapo ni demo ya formula ninayotaka kwenda nayo msimu huu. Hiyo ni live betting. Hii formula inanipa matokeo chanya 99%.

Shida yangu ni moja tu, siwezi vumilia nisiwe na mkeka active. Kwahiyo najikuta naenda nje ya formula, namfaidisha muhindi.

Tangu nianze na hiyo formula, sina hasara
Huu ugonjwa tunaumwa wengi😂😂😂

Yaani muda wote natamani niwe na bet active
 
Dah we jamaa😂😂😂
Huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
Nenda Mwenge utaona wajeda wanavyokwenda kununua hizo odds.
Ni dalili ya utahira, wanashindwa kujiuliza kama zinalipa kwanini muuzaji ni maskini?
Kwanini muuzaji asiweke mkeka wa million abutue mabilioni?
 
Huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
Nenda Mwenge utaona wajeda wanavyokwenda kununua hizo odds.
Ni dalili ya utahira, wanashindwa kujiuliza kama zinalipa kwanini muuzaji ni maskini?
Kwanini muuzaji asiweke mkeka wa million abutue mabilioni?
Nina mwanangu mshika bunduki maisha yalimbadilikia ndani ya wiki moja😓😓😓

Kutoka kuwa faza house mpka mpangaji yote sababu ya correct score
 
Nina mwanangu mshika bunduki maisha yalimbadilikia ndani ya wiki moja😓😓😓

Kutoka kuwa faza house mpka mpangaji yote sababu ya correct score
Ilikuaje aisee tupe stori mkuu
 
Ilikuaje aisee tupe stori mkuu
Tulikuwa tukikutana home tunaanda kitu kwa odds chache tuu ama live game kwa odds kidogo 1.2-2.00, Mafanikio yalikuwepo sio haba japo kupoteza ni sehemu ya "uwekezaji"😂😂


Sasa kuna jamaa walikutana kwenye ma group ya whatsapp akampanga masuala ya correct score, Mwanangu akajaa nikamzuia ila akaamua kunizunguka alipewa kama game 3 mfululizo zikawa zinatoa bila mchizi kuniambia

Lost zilipoanza kuingia na mwamba imani ishakuwa kubwa make hata mizigo aliyokuwa anaweka sio haba alianza na 100k,500k akiamini ata refund hasara zote😓😓😓 Mwisho alipoteza vingi sana

NB:Betting either uifanye kwa starehe ama kwa kutafuta hela kama kazi nyingine ni chaguo la mtu ila tuu TAMAA inatakiwa iwe mbali na wewe. TAMAA ndo adui namba moja wa "WAWEKEZAJI"😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tulikuwa tukikutana home tunaanda kitu kwa odds chache tuu ama live game kwa odds kidogo 1.2-2.00, Mafanikio yalikuwepo sio haba japo kupoteza ni sehemu ya "uwekezaji"😂😂


Sasa kuna jamaa walikutana kwenye ma group ya whatsapp akampanga masuala ya correct score, Mwanangu akajaa nikamzuia ila akaamua kunizunguka alipewa kama game 3 mfululizo zikawa zinatoa bila mchizi kuniambia

Lost zilipoanza kuingia na mwamba imani ishakuwa kubwa make hata mizigo aliyokuwa anaweka sio haba alianza na 100k,500k akiamini ata refund hasara zote😓😓😓 Mwisho alipoteza vingi sana

NB:Betting either uifanye kwa starehe ama kwa kutafuta hela kama kazi nyingine ni chaguo la mtu ila tuu TAMAA inatakiwa iwe mbali na wewe. TAMAA ndo adui namba moja wa "WAWEKEZAJI"😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo ya tamaa Kila biashara ukiifanya kitamaa inakula kwako
 
Chance ya kufanikiwa ni ndogo sana, otherwise nasubiri nione mwakani muda kama huu uje utupe mrejesho
 
Back
Top Bottom