Garincha II
Senior Member
- Jul 21, 2023
- 185
- 213
Kumbe humu watoto wengi sana. Unaamini hivyo vitu kuwa ni kweli... Aiseeππππππ Nakutumia link ya video uipitie
Wewe mpaka Sasa hivi unautajiri kiasi gani mkuu ulivyoachana na bettingAchana na betini fikiria cha kuanzisha na hiyo hiyo laki5
Nimefanikiwa na wala si Tajiri,na wala si kwa bahati nasibu mfereji wangu wa kufanikiwa hakufanikiwa kukatiza katika michezo ya bahati nasibu,,Kama wewe mfereji wako wa kufanikiwa umekatiza huko,,vuruga mzee wala si dhambi.Wewe mpaka Sasa hivi unautajiri kiasi gani mkuu ulivyoachana na betting
Kumbe humu watoto wengi sana. Unaamini hivyo vitu kuwa ni kweli... Aisee
We Muache π€£Ye tomaso haaminiπ
Njoo mimi ninakupa odd 1.22 bureWadau kama mnavyoona kichwa Cha habari kinavyosema Nina laki 5 kama mtaji kwenye betting kuelekea kuanza Kwa msimu. Nitumie mbinu Gani Ili niweze kufanikiwa kufikisha million 10 mpaka mwakani, nipo serious wadau naombeni ushauri wenu Mods naomba huu Uzi usiunganishwe nataka maoni ya wadau mkiuanganisha mtanikwaza sana.
Kila la kheri nduguNinajua ninachokifanya