Nina leseni Class E, natafuta kazi ya udereva wa IT

Nina leseni Class E, natafuta kazi ya udereva wa IT

Mechanical

Member
Joined
Oct 20, 2020
Posts
70
Reaction score
106
Habari wana jamii,

Poleni na majukumu ya hapa na pale. Kwa jina naitwa kelvin nina umri wa miaka 25 naishi mbeya sae-Tanesco

Natafuta kazi ya udereva katika campany yoyote inayojishughulisha na udereva wa IT nina lesen ya class E nimesoma mafunzo ya udereva VETA na pia ninaujuzi wa ufundi wa magali.

Kwa sasa nafanya kazi hapa Mbeya ya pump attendant.
 
Habari wana jamii, naomba kurudia kutagaza post yangu

Poleni na majukumu ya hapa na pale. Kwa jina naitwa kelvin nina umri wa miaka 25 naishi mbeya sae-Tanesco

Natafuta kazi ya udereva katika campany yoyote inayojishughulisha na udereva wa IT nina lesen ya class E nimesoma mafunzo ya udereva VETA na pia ninaujuzi wa ufundi wa magali.

Kwa sasa nafanya kazi hapa Mbeya ya pump attendant.
 
Habari wana jamii, naomba kurudia kutagaza post yangu

Poleni na majukumu ya hapa na pale. Kwa jina naitwa kelvin nina umri wa miaka 25 naishi mbeya sae-Tanesco

Natafuta kazi ya udereva katika campany yoyote inayojishughulisha na udereva wa IT nina lesen ya class E nimesoma mafunzo ya udereva VETA na pia ninaujuzi wa ufundi wa magali.

Kwa sasa nafanya kazi hapa Mbeya ya pump attendant.
 
Wanalipa ila sio sanaa.... Mbali na kulinganisha malipo.

kazi ya udereva ni kazi ninayoipenda zaidi. sijaichagua sababu tu ya kuamin kuwa inamalipo zaid kulinganisha na hii nayoifanya sasa.

Nimeichagua sababu naipenda kuifanya na itaiweka katika mazingira tofauti tofauti ya kijifunza vitu vipya kuliko hii ya sasa inayoniweka katika mazingira ya eneo moja.
 
Wanalipa ila sio sanaa.... Mbali na kulinganisha malipo. kazi ya udereva ni kazi ninayoipenda zaidi. sijaichagua sababu tu ya kuamin kuwa inamalipo zaid kulinganisha na hii nayoifanya sasa., nimeichagua sababu naipenda kuifanya na itaiweka katika mazingira tofauti tofauti ya kijifunza vitu vipya kuliko hii ya sasa inayoniweka katika mazingira ya eneo moja.
Sawa, wakuu mliokaribu na hiyo fursa mpigeni tafu kijana
 
Mkuu naomba connection kwenye hiyo kazi ya sheli
Connection za kaz ya shell zinataka mpaka ujuane na maneja wa kituo hicho........na sio kupitia kwa mfanyakazi wa sheli hiyo kwa sababu atupewi ruhusa ya kutafuta mtu pale anapoitajika
 
Back
Top Bottom