Kama unawachukia TRA na Polisi unakosea hawana kosa lolote wao ni watendaji tu na watekelezaji wa kile wanachoagizwa na serekali,chuki yako ungeielekeza kwenye serekali hapo ungekuwa umelenga penyewe.Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Hivi mkuu ushawahi kwenda kurenew leseni kubwa kupitia polisi au unabonga tu?Mnavunja taratibu wenyewe alafu kesho mnakuja kuipigia kelele serikali.
Ukipewa amri isiyo halali usiisimamie kama mbwa anavyoitikia amri ya bwana wakeKama unawachukia TRA na Polisi unakosea hawana kosa lolote wao ni watendaji tu na watekelezaji wa kile wanachoagizwa na serekali,chuki yako ungeielekeza kwenye serekali hapo ungekuwa umelenga penyewe.
Na ukaruhusiwa kuendesha gari na ku-renew license kwa miaka 34 na leo ndio unakuwa tatizo?Acha kutetea ujinga ina maana huyo hajuwahi kusoma chuo udereva alijifunzia nyumbani hamna dereva hapo
Udereva unasomewa apeleke cheti
Pole mkuu,kwani huna cheti kweli au umepoteza au ndio yale mambo ya juu kwa juu ukapata leseni...?Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.
Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.
Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.
Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?
Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?
Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Hatuwezi kuwa watumwa wa kuwafungulia pochi kwa kila kitu ndani ya nchi yetu wenyewe. Kwa nini wanaweka utaratibu ambao wanajua utawaumiza watu kwa kufungua pochi? In fact, kujua kwamba ukifungua pochi uta renew leseni ina maana hiyo sheria waliyoweka ni useless, haisaidiiMkuu fungua pochi Tu hakuna namna
Mkuu cheti nilikuwa nacho, lakini ni miaka 34 iliyopita, maana huko nyuma hakuna aliedai chetiPole mkuu,kwani huna cheti kweli au umepoteza au ndio yale mambo ya juu kwa juu ukapata leseni...?
Na hilo ni tatizo sana. Hawa watu ili kujinufaisha wanahujumu kila kituWana vidriving school vyao uchwara mitaani wanavipigia chapuo ili waingize pesa, kichekesho wanaofundisha hawana hivyo vyeti
Umeongea point sana Mkuu. Hivi hawa wajinga wanafikiri cheti ndio kinazuia uendeshaji wa kizembe? Cheti ndio kinazuia mtu ku-overtake bila kuchukua tahadhari - kwani wanafikiri mtu anaefanya hivyo hajui kuwa anafanya kosa? Cheti ndio kinazuia madereva wa mabasi kushindana huko barabarani?Ndiyo mambo ya kikao cha juzi cha Bashungwa,Police,LATRA kudhibiti ajali itakuwa!
Madereva wa serikali wana vyeti safi kutoka NIT ila fujo zao kila mtu anazijua.
Hawajui zebra crossing wala vibao vya 50 na 80.
Maisha hapa Tanganyika yanachekesha sana hapo wanataka ununue cheti tu na sio kwenda shule ya udereva. Hata zile stika nenda kwa usalama zilikuwa zinauzwa unampa mtu namba ya gari anakuletea.Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.
Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.
Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.
Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?
Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?
Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Jibu limenyooka sana yani halina porojo.Leseni first time nmepata ya kitabu mwaka 2009, class E.
Walivoleta hizi mpya nkaenda nkabadilisha nkapewa class B, D, na E nliokua nayo.
Mind you sijawahi hata kuendesha lorry.
After there ikaexpire first time nkaenda nkarenew bila shida.
Then ikaexpire tena after 3 yrs, i thnk ilikua 2021, nkaenda nkaombwa cheti (ambacho sina) nkaenda kwa vehicle nkatoa 10k akapitisha nkarud TRA kurenew.
Kama umemwelewa jamaa anacholalamika n kuombwa cheti.
Sasa hv kurenew leseni ni 70k for 5 yrs but kwa sisi wenye leseni kubwa (class C, E n.k) lazma uanzie polisi kwa vehicle ili afanye approval kwenye system then ndo TRA wakupe mpya. Huko ndo nmesema kuna kutoa maji ya kunywa kama huna cheti au hutaki usumbufu wa kuanza kufanyiwa road test n.k
Haya wewe mwenye leseni, embu tueleze how it works kwa nyie wenye leseni
Nenda driving school utaratibu ulishswekwa wazi....refresher course ni muhimu sanaHii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.
Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.
Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.
Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?
Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?
Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Ukiwa chini ya serekali au chini ya yeyote mwenye mamlaka juu yako amri zote atakazo zitoa kwako ni halali kama una swali kuhusu amri uliopewa nenda katekeleze kwanza swali utauliza baada ya kutekeleza amri yake.Ukipewa amri isiyo halali usiisimamie kama mbwa anavyoitikia amri ya bwana wake
Ni Sahihi kabisaaHatuwezi kuwa watumwa wa kuwafungulia pochi kwa kila kitu ndani ya nchi yetu wenyewe. Kwa nini wanaweka utaratibu ambao wanajua utawaumiza watu kwa kufungua pochi? In fact, kujua kwamba ukifungua pochi uta renew leseni ina maana hiyo sheria waliyoweka ni useless, haisaidii
Sio tu unapewa bila cheti, ila unapewa na barua ya kuthibitisha hayo madaraja. Mimi ninayo nimepewa juzi juzi tu.Daraja E na C huwezi kupewa bila cheti.
punguza makasiriko, nyie wenye leseni za zamani ndio mmesababisha yote haya, mlikuwa mnasababisha maajari kila siku, sasa hivi unaambiwa ukasome unakaza fuvu, nenda kasome huwezi tupa leseni PambaavHii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.
Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.
Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.
Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?
Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?
Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!