Nina leseni ya driving gari ndogo (sio class C) na nime-renew tangu 1990, leo hii nakataliwa ku-renew eti sina cheti!

Nina leseni ya driving gari ndogo (sio class C) na nime-renew tangu 1990, leo hii nakataliwa ku-renew eti sina cheti!

Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.
Kama unawachukia TRA na Polisi unakosea hawana kosa lolote wao ni watendaji tu na watekelezaji wa kile wanachoagizwa na serekali,chuki yako ungeielekeza kwenye serekali hapo ungekuwa umelenga penyewe.
 
Kama unawachukia TRA na Polisi unakosea hawana kosa lolote wao ni watendaji tu na watekelezaji wa kile wanachoagizwa na serekali,chuki yako ungeielekeza kwenye serekali hapo ungekuwa umelenga penyewe.
Ukipewa amri isiyo halali usiisimamie kama mbwa anavyoitikia amri ya bwana wake
 
Acha kutetea ujinga ina maana huyo hajuwahi kusoma chuo udereva alijifunzia nyumbani hamna dereva hapo
Udereva unasomewa apeleke cheti
Na ukaruhusiwa kuendesha gari na ku-renew license kwa miaka 34 na leo ndio unakuwa tatizo?
 
Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.

Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.

Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.

Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.

Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?

Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?

Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Pole mkuu,kwani huna cheti kweli au umepoteza au ndio yale mambo ya juu kwa juu ukapata leseni...?
 
Mkuu fungua pochi Tu hakuna namna
Hatuwezi kuwa watumwa wa kuwafungulia pochi kwa kila kitu ndani ya nchi yetu wenyewe. Kwa nini wanaweka utaratibu ambao wanajua utawaumiza watu kwa kufungua pochi? In fact, kujua kwamba ukifungua pochi uta renew leseni ina maana hiyo sheria waliyoweka ni useless, haisaidii
 
Wana vidriving school vyao uchwara mitaani wanavipigia chapuo ili waingize pesa, kichekesho wanaofundisha hawana hivyo vyeti
Na hilo ni tatizo sana. Hawa watu ili kujinufaisha wanahujumu kila kitu

  • wanahujumu SGR mabasi yao yapate abiria
  • wana complicate sheria kuuwapa askari ulaji kwa sababu wanawalipa mishahara kidogo
  • wanahujumu Mwendo kasi daladala zao na bajaji wapate abiria
  • wanahujumu Tanesco ili wauze majenerator
  • wanahujumu barabara kwa kuacha zijae mashimo ili watoe tenda za kuziba viraka kwa watu wao
  • wanahujumu kilakitu kama kuna namna watavuta pesa!
 
Ndiyo mambo ya kikao cha juzi cha Bashungwa,Police,LATRA kudhibiti ajali itakuwa!

Madereva wa serikali wana vyeti safi kutoka NIT ila fujo zao kila mtu anazijua.

Hawajui zebra crossing wala vibao vya 50 na 80.
Umeongea point sana Mkuu. Hivi hawa wajinga wanafikiri cheti ndio kinazuia uendeshaji wa kizembe? Cheti ndio kinazuia mtu ku-overtake bila kuchukua tahadhari - kwani wanafikiri mtu anaefanya hivyo hajui kuwa anafanya kosa? Cheti ndio kinazuia madereva wa mabasi kushindana huko barabarani?

Wanaacha kujikita kutengeneza miundo mbinu ambayo kwa asilimia 80% ndio inasababisha ajali wanakimbilia kusema madereva wawe na vyeti kupunguza ajali. Hebu wawapeleke boda boda wote shule wapewe vyeti waone kama Muhimbili kutapungua wagonjwa wa ajali za boda boda.

Hawa watu sijui wanatumia nini kufikiria!

Huu uzi nilifungua kwa kuwa najitambua katika udereva wangu wa zaidi ya miaka 30, na najua watu walioendesha gari kwa zaidi ya miaka 5 ni ujinga leo kuwaambia lete cheti.

Kwa wote mnaotarajia kusafiri kwa magari yenu kipindi cha December/January ningependa kuwakumbusha jambo la msingi sana hapa, kwa faida na uhai wenu


Cheti sio suluhisho la ajali, warekebishe barabara, zisiwe na mashimo na sehemu hatarishi ziwekewe climbing lanes

Angalia barabara ya Dar-Moro ilikuwa na ajali za kugongana karibu kila wiki. Tukashauri sana waweke climbing lanes. Walipoweka leo tumesahau ajali za barabara ya Dar-Moro. Kwa nini hawajifunzi? Ajali ngapi zinatokea kwa sababu ya mashimo au sehemu ndefu kutokua rafiki kwa overtake kwa sababu hakuna climbing lanes? Pale Mbeya Mbalizi, kuna mwinuko na hakuna climbing lane, kila siku ajali zinatokea pale, wanafikiri ni kwa sababu madereva hawana veti? Vyeti vitaondoa mashimo ambayo Tanroads wanazembea kuyaondoa?

Wamekaa wakafanya tathmini ya "cause and effect" ya ajali barabarani ndio wakagundua ni kwa sababu madereva hawana vyeti, really? Huyu Samia anitafute nimsaidie kumwekea mambo sawa nchini. Kuna ujinga mwingi sana unafanyika.

Hawa watu wanastahili kunyongwa au kupigwa risasi hadharani kwa ujinga wa kuongoza nchi kama huu.
 
Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.

Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.

Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.

Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.

Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?

Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?

Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Maisha hapa Tanganyika yanachekesha sana hapo wanataka ununue cheti tu na sio kwenda shule ya udereva. Hata zile stika nenda kwa usalama zilikuwa zinauzwa unampa mtu namba ya gari anakuletea.
 
Leseni first time nmepata ya kitabu mwaka 2009, class E.
Walivoleta hizi mpya nkaenda nkabadilisha nkapewa class B, D, na E nliokua nayo.
Mind you sijawahi hata kuendesha lorry.
After there ikaexpire first time nkaenda nkarenew bila shida.
Then ikaexpire tena after 3 yrs, i thnk ilikua 2021, nkaenda nkaombwa cheti (ambacho sina) nkaenda kwa vehicle nkatoa 10k akapitisha nkarud TRA kurenew.
Kama umemwelewa jamaa anacholalamika n kuombwa cheti.
Sasa hv kurenew leseni ni 70k for 5 yrs but kwa sisi wenye leseni kubwa (class C, E n.k) lazma uanzie polisi kwa vehicle ili afanye approval kwenye system then ndo TRA wakupe mpya. Huko ndo nmesema kuna kutoa maji ya kunywa kama huna cheti au hutaki usumbufu wa kuanza kufanyiwa road test n.k
Haya wewe mwenye leseni, embu tueleze how it works kwa nyie wenye leseni
Jibu limenyooka sana yani halina porojo.
 
Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.

Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.

Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.

Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.

Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?

Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?

Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
Nenda driving school utaratibu ulishswekwa wazi....refresher course ni muhimu sana
 
Ukipewa amri isiyo halali usiisimamie kama mbwa anavyoitikia amri ya bwana wake
Ukiwa chini ya serekali au chini ya yeyote mwenye mamlaka juu yako amri zote atakazo zitoa kwako ni halali kama una swali kuhusu amri uliopewa nenda katekeleze kwanza swali utauliza baada ya kutekeleza amri yake.
 
Hatuwezi kuwa watumwa wa kuwafungulia pochi kwa kila kitu ndani ya nchi yetu wenyewe. Kwa nini wanaweka utaratibu ambao wanajua utawaumiza watu kwa kufungua pochi? In fact, kujua kwamba ukifungua pochi uta renew leseni ina maana hiyo sheria waliyoweka ni useless, haisaidii
Ni Sahihi kabisaa
 
Kwa sasa ukienda ku renew utaachiwa Daraja D. Daraja E na C huwezi kupewa bila cheti. Kwenye Daraja C wapo very sensitive huwezi pewa kirafiki kwa sasa watu wasikuambie habari ya penyeza rupia
 
Acha mboyoyo mbona kupata cheti ni chap zaidi ya muda uliotumia kulia lia apa JF.
Tafuta kachuo kokote uchwara Mpe msimamizi 20k uondoke na cheti swafi
 
Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo.

Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu.

Hivi hawa watu wanaokaa huko juu na kutunga hizi taratibu wana akili sawa kweli? Kama wameleta sheria mpya kwa nini zisitumike kwa wakataji wapya wa leseni za udereva? Niliwahi kusema humu JF, katika taasisi za serikali ninazozichukia kuliko zote, ni Polisi na TRA - kwa sababu hawa ndio wana mambo ya kijinga kupita kiasi.

Kawaida, unapotunga sheria mpya, huwa inaanza kutumika pale ilipotungwa na kwenda mbele. Huwezi kutumia sheria mpya "retroactively". Kwa mfano, huwezi kutunga sheria mpya mwaka 2025 kwamba wabakaji mbuzi wanyongwe, halafu useme hata wale waliobaka mbuzi miaka ya 1980 huko nao watafutwe tuwanyonge. Hakuna kitu cha namna hiyo.

Sasa hawa watu wanaokuja na taratibu za kijinga namna hii wana ubongo huko ndani ya vichwa vyao kweli?

Na nyie kina Mwabukusi, kwa nini mnakaa kimya utopoo kama huu unapofanyika nchini? TLS ipo kwa ajili ya nini na nani, vyama vya upinzani peke yake?

Nchi hii inahitaji mapinduzi - na hapa simaanishi CCM!
punguza makasiriko, nyie wenye leseni za zamani ndio mmesababisha yote haya, mlikuwa mnasababisha maajari kila siku, sasa hivi unaambiwa ukasome unakaza fuvu, nenda kasome huwezi tupa leseni Pambaav
 
Back
Top Bottom