UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Nimekuwa nikiwasikia watu wanaojiita "Madaktari" pamoja na watu wanaojiita "Wataalamu wa lishe" wakizungumza au wakitoa ushauri wa namna ambavyo mtanzania anapaswa kula ili kuyakimbia magonjwa ya FIGO,INI pamoja na KANSA!.
Wataalamu " Uchwara " hao wamekuwa hadi wakiwapangia watanzania nini chakutumia na kipi si chakutumia!.
Miongoni mwa Vitu ambavyo wamekuwa wakivipigia kelele ni vyakula vya wanga na kabohaidreti,ikiwemo
1. Mahindi na bidhaa zake
2. Viazi vitamu na bidhaa zake
3. Mhogo na bidhaa zake
4. Mchele na bidhaa zake
5. Nyama na bidhaa zake
Wameenda mbali sana hadi Hivi sasa wanadiliki kusema tusitumie matunda kwa wingi!
Mimi binafsi nimekuwa napata mashaka na wataalamu "Uchwara" hawa.
Jamii nyingi za Afrika espeshali Tanzania,tunajua kabisa kuna umasikini wa kutisha,na vyakula vikuu vya nchi zetu hizi ni NAFAKA na Bidhaa zake!
Hebu fikiria Tuache kula Wali tule nini?
Hebu fikiria watu waache kula ugali wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula Viazi vitamu wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula Viazi mbatata wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula matunda wale nini?
Mi nilidhani watawashauri walimaji na wafanyabiashara waache kutumia kemikali mbaya za kuhifadhia mazao ambazo mwisho wa siku zinaleta madhara kwa walaji,lakini wao wamekuja na kelele nyingi za kuwazuia watu kula hivyo vyakula tajwa hapo juu!.
Zamani mazao yalikuwa yakihifadhiwa kwenye maghala ya kiasili yaliyotengenezwa kwa fito na kusilibwa kwa kinyesi cha ng'ombe na bado mazao yalidumu miaka guarani,Je hawaoni wafanyabisha walafi wa pesa ndiyo Tatizo la matatizo ya kiafya kwa jamii?,Nilidhani nguvu na kelele zielekezwe kwa wanadamu waishio Tanzania ya kwamba wasitumie nafaka zozote zilizohifadhiwa kwa kemikali lakini wao kutwa kutupigia kelele eti watu wasile Wanga kwasababu unaleta shida!
Sasa hamtaki tule hivyo vyakula mnataka tule nini kama mbadala?
Nimekuwa nikiwasikia watu wanaojiita "Madaktari" pamoja na watu wanaojiita "Wataalamu wa lishe" wakizungumza au wakitoa ushauri wa namna ambavyo mtanzania anapaswa kula ili kuyakimbia magonjwa ya FIGO,INI pamoja na KANSA!.
Wataalamu " Uchwara " hao wamekuwa hadi wakiwapangia watanzania nini chakutumia na kipi si chakutumia!.
Miongoni mwa Vitu ambavyo wamekuwa wakivipigia kelele ni vyakula vya wanga na kabohaidreti,ikiwemo
1. Mahindi na bidhaa zake
2. Viazi vitamu na bidhaa zake
3. Mhogo na bidhaa zake
4. Mchele na bidhaa zake
5. Nyama na bidhaa zake
Wameenda mbali sana hadi Hivi sasa wanadiliki kusema tusitumie matunda kwa wingi!
Mimi binafsi nimekuwa napata mashaka na wataalamu "Uchwara" hawa.
Jamii nyingi za Afrika espeshali Tanzania,tunajua kabisa kuna umasikini wa kutisha,na vyakula vikuu vya nchi zetu hizi ni NAFAKA na Bidhaa zake!
Hebu fikiria Tuache kula Wali tule nini?
Hebu fikiria watu waache kula ugali wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula Viazi vitamu wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula Viazi mbatata wale nini?
Hebu fikiria watu waache kula matunda wale nini?
Mi nilidhani watawashauri walimaji na wafanyabiashara waache kutumia kemikali mbaya za kuhifadhia mazao ambazo mwisho wa siku zinaleta madhara kwa walaji,lakini wao wamekuja na kelele nyingi za kuwazuia watu kula hivyo vyakula tajwa hapo juu!.
Zamani mazao yalikuwa yakihifadhiwa kwenye maghala ya kiasili yaliyotengenezwa kwa fito na kusilibwa kwa kinyesi cha ng'ombe na bado mazao yalidumu miaka guarani,Je hawaoni wafanyabisha walafi wa pesa ndiyo Tatizo la matatizo ya kiafya kwa jamii?,Nilidhani nguvu na kelele zielekezwe kwa wanadamu waishio Tanzania ya kwamba wasitumie nafaka zozote zilizohifadhiwa kwa kemikali lakini wao kutwa kutupigia kelele eti watu wasile Wanga kwasababu unaleta shida!
Sasa hamtaki tule hivyo vyakula mnataka tule nini kama mbadala?