Nina mashaka na Rais wa Ukraine ni mamluki upande wa Urusi

Nina mashaka na Rais wa Ukraine ni mamluki upande wa Urusi

Jacob kalokola

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2022
Posts
893
Reaction score
2,721
Nina mashaka sana na huyu rais wa Ukraine kuwa anaweza kuwa anatumika na Urusi hili kuidhoofisha ulaya kiuchumi na teknologia ya silaha zao. Mfano Himars zimeundwa 2012, uwezo wa Patriots, uwezo wa Leopard tanks n.k.

Matangazo ktk media za west zikisifia dhana hizi za kivita, lakini uharisia wake ni wa kawaida kwa mataifa yenye nguvu kama Uchina, Urusi, India, n.k

Labda kwetu africa na Middle East. Mataifa kama Qatar, Pakistan wamepunguza order ya silaha za west baada ya kuona hazina tofauti hivyo soko sasa limeamia China. Saudia imeorder orodha ya silaha toka Uchina.

Kwanini ninamwita Zelensky nahisi mamluki, raia wengi wamekuwa wakimbizi, miundombinu inakufa, madeni n.k

Ndio kwanza anaomba silaha hili zifanyiwe uchunguzi na kuharibiwa ktk uwanja wa vita na kuua soko.
 
Kuizika dollar TU,Putin apewe maua yake.
20230423_193630.jpg
 
Nina mashaka sana na huyu Rais wa Ukraine kuwa anaweza kuwa anatumika na Urusi hili KUIDHOOFISHA ULAYA KIUCHUMI NA TECHNOLOGIA YA SILAHA ZAO. Mfano Himars zimeundwa 2012,
Uwezo wa Patriots, Uwezo wa Leopard tanks n.k.

MATANGAZO KTK MEDIA ZA WEST ZIKISIFIA DHANA HIZI ZA KIVITA, LAKINI UHARISIA WAKE NI WA KAWAIDA KWA MATAIFA YENYE NGUVU KAMA UCHINA , URUSI, INDIA,N.K

LABDA KWETU AFRICA NA MIDDLE EAST.
MATAIFA KAMA CATAR, PAKSTAN WAMEPUNGUZA ORDER YA SILAHA ZA WEST BAADA YA KUONA HAZINA TOFAUTI HIVYO SOKO SASA LIMEAMIA CHINA. SAUDIA IMEORDER ORODHA YA SILAHA TOKA UCHINA.

KWANINI NINAMWITA ZELENSKY NAHISI MAMLUKI, RAIA WENGI WAMEKUWA WAKIMBIZI, MIUNDOMBINU INAKUFA, MADENI N.K

NDIO KWANZA ANAOMBA SILAHA HILI ZIFANYIWE UCHUNGUZI NA KUHARIBIWA KTK UWANJA WA VITA NA KUUA SOKO.
Hili [emoji735]

Ili[emoji736]
 
Nina mashaka sana na huyu Rais wa Ukraine kuwa anaweza kuwa anatumika na Urusi hili KUIDHOOFISHA ULAYA KIUCHUMI NA TECHNOLOGIA YA SILAHA ZAO. Mfano Himars zimeundwa 2012,
Uwezo wa Patriots, Uwezo wa Leopard tanks n.k.

MATANGAZO KTK MEDIA ZA WEST ZIKISIFIA DHANA HIZI ZA KIVITA, LAKINI UHARISIA WAKE NI WA KAWAIDA KWA MATAIFA YENYE NGUVU KAMA UCHINA , URUSI, INDIA,N.K

LABDA KWETU AFRICA NA MIDDLE EAST.
MATAIFA KAMA CATAR, PAKSTAN WAMEPUNGUZA ORDER YA SILAHA ZA WEST BAADA YA KUONA HAZINA TOFAUTI HIVYO SOKO SASA LIMEAMIA CHINA. SAUDIA IMEORDER ORODHA YA SILAHA TOKA UCHINA.

KWANINI NINAMWITA ZELENSKY NAHISI MAMLUKI, RAIA WENGI WAMEKUWA WAKIMBIZI, MIUNDOMBINU INAKUFA, MADENI N.K

NDIO KWANZA ANAOMBA SILAHA HILI ZIFANYIWE UCHUNGUZI NA KUHARIBIWA KTK UWANJA WA VITA NA KUUA SOKO.
Kwa hiyo wewe ulitaka alivyovamiwa nchi kwake na Urusi angeikabidhi nchi yake kiroho safi kwa Putin ili raia wake wasiwe wakimbizi?
 
Katika hali ya Kawaida hasingeliweka mikakati ya kujiunga Nato huku akijua Urusi wakati huu yupo mtawala katiri asiyeyumbishwa.
Kwani hakuweza ku Google na kuangalia rank ya Urusi kijeshi?
Amehatarisha Maisha, Mari, Miundombinu ya Taifa na Wananchi wake.
 
Russia ni mtihani mkuu na mgumu.
Sasa Kama wewe huku AFRIKA unalitambua hili alishindwaje Mtawala ambaye amezungukwa na Washauri wa Usalama wa Taifa?
Ndio maana nasema ni MAMLUKI wa Urusi Kama alivuokuwa Boris Johnson wa UINGEREZA. Amehaminiwa na kupewa dhamana Kama Waziri Mtendaji Mkuu Serikarini kumbe Mamluki wa Urusi.
 
Sasa Kama wewe huku AFRIKA unalitambua hili alishindwaje Mtawala ambaye amezungukwa na Washauri wa Usalama wa Taifa?
Ndio maana nasema ni MAMLUKI wa Urusi Kama alivuokuwa Boris Johnson wa UINGEREZA. Amehaminiwa na kupewa dhamana Kama Waziri Mtendaji Mkuu Serikarini kumbe Mamluki wa Urusi.
Vita hii imetufunulia mwamba wa ukweli.Na tumejua nato na dada zake ni kwa ajili ya Afrika.
 
Mwaka huu tutaona mengi!
Nilikuwa naogopa sana zinapotajwa LEOPARD, HIMARS, PATRIOTS, N.K. KUWA SASA VITA INAKWENDA KUHITIMISHIWA CLIMEA, maana CNN, BBC, aljazeera, fox news, wakitoa sifa za vitisho kwa hizo Silaha.Naona kama hata majimbo hayajarejeshwa.
 
Nje ya mada!

Nlikuwa naskia Kuna uhaba wa dollar mbona kila nkienda mlimani city nabadilisha fresh tu na Kwa rate ile Ile ya kila siku japo Kuna kavariation kidogo
Mkuu alienda kuuza ama kununua?Hata kama uhaba upo siyo wa dola chache za kubadilishiwa mlimani city
 
Back
Top Bottom