Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake.

Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2. Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Kuzini dhambi kiongozi,
Ungeoa yasingekuwepo haya
 
Inapokujaga ishu ya mimba wanaume wengi huwa tunawaza kua tumesingiziwa ili tuepuke hicho kikombe hasa kama hujajipanga ama lah huna mpango wa kuzaa na huyo she.

Kijana weka kumbukumbu za tarehe mlizokutana vizuri, kumbuka tarehe sahihi mliyonjunjana. Sio useme kama wiki sijui nahisi ilikua siku fulani na vitu kama hizo.
Usipokua na uhakika wewe basi huyo mpenzio atakupa uhakika amboa utake usitake itabidi uuamini maana wewe hukumbuki.
 
Hajasema ana mimba Yako amesema anahisi ana mimba
 
Back
Top Bottom