Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kipindi napata mimba mwenyewe sikumwambia mwenzangu ni ya week.ngapi maana walinichanganya nae alivo kauzu kama wewe lazima angekuja kuanzisha thread humu.kwanza angeniacha kabisa .mkeo nae angekausha .
Kwanza hapo kuna clinic wanatumia tar ya Kwanza ya period wengine tar ya mwisho
Hapo tena ukute umeropoka labda cycle yako haeleweki ulivuka mwezi .unaweza kuambiwa Una mimba ya week 12 kumbe ulisex week mbili tu zimepita
Kwanza hapo kuna clinic wanatumia tar ya Kwanza ya period wengine tar ya mwisho
Hapo tena ukute umeropoka labda cycle yako haeleweki ulivuka mwezi .unaweza kuambiwa Una mimba ya week 12 kumbe ulisex week mbili tu zimepita