Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Alafu hii lina ukweli....wanawake wajanja lazima wachague mwanaume mwenye future.
Kumbe sie ambao hatujawahi kubambikiwa mimba maana yake hatuna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁na wanajua kunusa sehemu yenye future hata kama kwa sasa huna kitu ,ila mwanamke anaona future yako , utasikia" nimekupenda hivi hiv hata kama una kitu" ,kumbe kaona huko mbele utakua vizuri😁😁
 
😁😁na wanajua kunusa sehemu yenye future hata kama kwa sasa huna kitu ,ila mwanamke anaona future yako , utasikia" nimekupenda hivi hiv hata kama una kitu" ,kumbe kaona huko mbele utakua vizuri😁😁
Am a living example wa hilo unalosema. Demu alinichana live kuwa mzabzab huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni.
Na kweli maisha hangu varangati tuu...nimeishia kuwa na uraibu wa nyeto ya mlenda vuguvugu na kula ugali mlenda wa mama wa kambo...huku mzee akinihifadhi kwenye kibanda cha uani
 
Am a living example wa hilo unalosema. Demu alinichana live kuwa mzabzab huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni.
Na kweli maisha hangu varangati tuu...nimeishia kuwa na uraibu wa nyeto ya mlenda vuguvugu na kula ugali mlenda wa mama wa kambo...huku mzee akinihifadhi kwenye kibanda cha uani
Sio kweli😁😁
 
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
SIO MINBA YAKO, ULTRASOUND HAIDANGANYI, HAIDANGANYI .

KAKUUZIA WEWE FALA.
 
Ultrasound hutumika kupima umri wa ujauzito kwa kuzingatia ukubwa wa mtoto aliyeko tumboni, na kwa kawaida huwa ni sahihi kwa kiwango kikubwa, hasa katika hatua za mwanzo za ujauzito. Lakini, matokeo ya ultrasound pia yanaweza kutofautiana kidogo kulingana na hali mbalimbali kama vile mzunguko wa hedhi wa mwanamke, na wakati alipotunga mimba.

Kwa kawaida, ultrasound inaweza kuwa na tofauti ya hadi wiki moja au mbili, lakini tofauti ya wiki mbili na zaidi ni nadra. Kwa hiyo, ikiwa ultrasound inaonesha kuwa ujauzito ni wa wiki 5 na siku 2, na ulitarajia uwe wa wiki 3 au chini ya wiki 4, kuna uwezekano mkubwa kuwa wakati wa kutunga mimba ulitokea kabla ya ulivyofikiria.

Ikiwa una shaka juu ya uhalali wa ujauzito huo kuwa wako, unaweza kumshauri mwenzi wako apate kipimo cha DNA cha kubaini uhalali wa baba wa mtoto mara baada ya mtoto kuzaliwa. Hata hivyo, ni muhimu kuzungumza naye kwa uwazi na kwa upole kuhusu hisia zako na wasiwasi ulionao.
Jina lako na ushauri uliyotoa ni tofauti.
 
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Hiyo ni yako comrade, kama huamini subiri mtoto azaliwe halafu mkapime DNA ili kujiridhisha.

Ova
 
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Another New Single Mother in Town
 
Ikiwa mlifanya tendo la ndoa na mpenzi wako wiki tatu zilizopita na kipimo cha ultrasound kinaonyesha kuwa ana ujauzito wa wiki 5 na siku 2, inawezekana kwamba mtoto ni wako. Kipimo cha ultrasound kawaida hupima muda wa ujauzito kuanzia siku ya kwanza ya hedhi ya mwisho ya mwanamke (LMP), ambayo ni takriban wiki mbili kabla ya yai kuachiliwa (ovulation) na mimba kutungwa. Hii inamaanisha kuwa ujauzito wa wiki 5 na siku 2 ungehusishwa na kutungwa kwa mimba takriban wiki 3 zilizopita.
Chai
 
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Mkuu nisikilize mimi kama una uhakika wiki tatu tu ndio zimepita tangu umemdinya basi hiyo Mimba sio yako.
Kama unataka maumivu endelea nayo.

Wewe kakuuzia mechi baada ya kutoka kwa Bwana wake mostly ni mume wa mtu au Mtu mzima ambaye hawezi kumuoa.

Chunguza pia namna alivyokupa gemu ulimuomba wewe au alikusogezea?
Ikiwa ulitumia nguvu ndogo au alikushawishi that is another circumstantial evidence.

Mimba chini ya 4weeks haionekani kwenye Ultrasound.
 
Mimba umri wake haihesabiwi siku mliofanya ,inaanza kuhesabiwa siku aliyoona siku zake za hedhi tarehe ya kwanza kwa mara ya mwisho.
 
Mkuu nisikilize mimi kama una uhakika wiki tatu tu ndio zimepita tangu umemdinya basi hiyo Mimba sio yako.
Kama unataka maumivu endelea nayo.

Wewe kakuuzia mechi baada ya kutoka kwa Bwana wake mostly ni mume wa mtu au Mtu mzima ambaye hawezi kumuoa.

Chunguza pia namna alivyokupa gemu ulimuomba wewe au alikusogezea?
Ikiwa ulitumia nguvu ndogo au alikushawishi that is another circumstantial evidence.

Mimba chini ya 4weeks haionekani kwenye Ultrasound.
Asee am comfused.. sijui nimsikilize nan humu, kila mtu na jibu lake ila weng humu wanasem inaonekana na inahesabiwa kuanzia siku yak ya kwanza aliokua period mar ya mwsh
 
Mimba umri wake haihesabiwi siku mliofanya ,inaanza kuhesabiwa siku aliyoona siku zake za hedhi tarehe ya kwanza kwa mara ya mwisho.
Weng wamejibu hvi huenda ikawa sahihi..maan nilikua na mashaka
 
Kwenye kuhesabu umri WA.mimba huwa unaulizwa mara ya mwisho kuona period
Kasome hata Kadi za clinic utaona mkuu
Kama.mlisex week Tatu zilizopita ninsawa .msisex danger. Days
 
Back
Top Bottom