Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawakana wengine wawili eeh!!Wawili tu bhana hapo umenisingizia😆😆😆😆😆
Kweli nina wawili tu ,kaka na dada 😁😁😁Unawakana wengine wawili eeh!!
Anakupiga kamba huyo aliotea kupata dogo Moja kipindi yupo chuo, kama upareni hakuacha alama hao watatu kawatoa wapi.Ndioooooo, muone min -me akupe shule. Anao 4 kila mmoja na mama yeke🤣
Huku mwaka naona utakua mzuri kwangu....Huyo mtoto kwangu atakua first born kwako atakua last bornLimeisha hilo totoo, tuma mbegu.
Kumbe haka katoto kaongo!🙆♀️Anakupiga kamba huyo aliotea kupata dogo Moja kipindi yupo chuo, kama upareni hakuacha alama hao watatu kawatoa wapi.
Mie bado mmoja tena. Wakifika 6 ndio nafunga kazi.Huku mwaka naona utakua mzuri kwangu....Huyo mtoto kwangu atakua first born kwako atakua last born
Akapige ultrasound nyengine halafu ulinganishe hiyo ya mwanzo na ya pili, hasa hasa mpleke kwa radiographer mzoefu. kisha linganisha mkuu.Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.
SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?
Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
😁Kumbe haka katoto kaongo!🙆♀️
Huyo mmoja ndo wangu sasa tufanye jamboMie bado mmoja tena. Wakifika 6 ndio nafunga kazi.
Nimekwambia tuma mbengu😄Huyo mmoja ndo wangu sasa tufanye jambo
AseeeIla wanaume tunapigwa, tena na kitu kizito kichwani, mtoto anaweza fanana nawe na asiwe wako. Msema kweli ni DNA.
Hapana shindikana 😁Kumbe haka katoto kaongo!🙆♀️