Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?

Ukiwa mwanaume usiyetaka mwanamke apate ujauzito basi zingatia matumizi ya kondomu, la sivyo kubaliana na matokeo...

Unatembea pekupeku halafu unataka kutusumbua tuanze kuhesabu siku zisizotuhusu, ebohhh!
 
Ukute hana mimbaa, ni mpango kautega akupigee maokotoo.

Nimekumbukaa shost angu alivyompiga jamaa ake mapenee, kupitia mimba uchwara, mwsho kudanganya imeharibikaa. Lol

Shtukaa mjinii hapaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amenitumia had ultrasound, sidhan km amedanganya
 
Mimba huhesabiwa toka mzunguko wa mwisho wa mwanamke. Yaani ile tarehe yake ya mwisho ya period, alipomaliza period, kesho yake ndo tarehe ya kwanza ya mimba.

Piga hesabu zako vizuri mkuu usije bambikiziwa kiumbe ambacho sio chako kisa tu amekuona wewe mnyonge.

Mimba inahesabiwa tofauti na ulivyoeleza, hesabu yake hufanyika tokea the first day of the last menstrual period...

Huyu mwamba yeye anatumbukiza tu mashine kavukavu hata pasipo kuhesabu pamoja siku za mwanamke, kutofatilia kama amesafiri au kubadili hali ya hewa karibuni, kujua kama anapitia stress n.k...
 
Wacha kulima kwa simu, nenda mwenyewe shambani kajihakikishie kama ulichopanda ndicho.
Utavunishwa mabua chalii angu
 
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.

SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?

Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
Usijiulize maswali mengi ukirud hme nenda nae hoapitali piga DNA utapata majibu

Maana hawa viumbe siku hz hawaeleweki
 
Ndio mkuu nlienda kavu afu ilkuwa n one night stand mtoto sikuwa hata na akil ya kuja kuishi nae hpo ndio nawaza daaah tatzo ndio kubwa sikutegemea kumuoa.

Halafu hao wa one night stand ndio wana vizazi vya karibu, kushika mimba ni dakika 0...

Na wakizaa ni mtoto wa kike 90%
 
Mimba inahesabiwa tofauti na ulivyoeleza, hesabu yake hufanyika tokea the first day of the last menstrual period...

Huyu mwamba yeye anatumbukiza tu mashine kavukavu hata pasipo kuhesabu pamoja siku za mwanamke, kutofatilia kama amesafiri au kubadili hali ya hewa karibuni, kujua kama anapitia stress n.k...
Ni kweli mkuu, itakuwa ni toka siku ya kwanza ya mzunguko wa mwanamke wa mwisho, nlikuwa nimesahau.

Mwanamke kama haupo tayari akuzalie mtoto ni vyema ukilala nae uzingatie namna ya kujikinga, siku baadhi wanaforce mimba hasa wakijua una maisha.
 
Back
Top Bottom