Kwa maana hio huenda hedhi yake ya mwisho ilikua wiki 5 zilizopita, na tumekutana wiki 3 zilizopita.. kwahio ultrasound imeanzia kuhesab kunzia hedhi yake ya mwsho! Km ni hvo bas ntafatilia nijue hedhi yake ya mwsho ilikua lini ili ni confirm..Ikiwa mlifanya tendo la ndoa na mpenzi wako wiki tatu zilizopita na kipimo cha ultrasound kinaonyesha kuwa ana ujauzito wa wiki 5 na siku 2, inawezekana kwamba mtoto ni wako. Kipimo cha ultrasound kawaida hupima muda wa ujauzito kuanzia siku ya kwanza ya hedhi ya mwisho ya mwanamke (LMP), ambayo ni takriban wiki mbili kabla ya yai kuachiliwa (ovulation) na mimba kutungwa. Hii inamaanisha kuwa ujauzito wa wiki 5 na siku 2 ungehusishwa na kutungwa kwa mimba takriban wiki 3 zilizopita.
Hatari sana.Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake..
Nikamtumia pesa aende hosptal kupima.. baada ya kupima akanitumia ultrasound inasoma mimba ipo na ina week 5 na sku 2.
Nimepiga hesabu zangu naona zinagoma nilitegemea angalau iwe na wiki 3 au zisizid 4.
Ila yeye sijamueleza hiki nachohisi kama mimba sio yang.
SWali langu je hizi ultrasound zinaonesha uhalisia au ni makadirio?
Na kama ni makadirio, je mimba ya wiki 3 inaweza kweny ultrasound ikasoma 5weeks?
35kMkuu kupima Ultrasound ni bei gani kuna manzi nataka akapime anasema anahs n mjamzto haoni siku zake taarfa kanpa sku 4 zmepita.
DuhLabda hata yeye hajui mimba ni ya nani kapiga ana ana anado atakaekubali kirahisi ndo yake
Sijasahau sku hta moja, nakumbuka had saa tuliokutanaHuo mzigo sio wko niamini mimi lbda km umesahau siku lkn huo mziko sio wako
Duh yaan miez 9 yote niwe nahudumia kwa mashakaDna ya kweli ni mtoto atakapozaliwa
Fushilia vitu vyote vya msingi, hasa vidole vya miguu na mikono
Nmetaka kujua km hzo ultrasound ni makadirio au ni uhalisia 100% ili kabla sijamueleza yeye niwe na uhakika nachokisemSasa hii concern unayoshea hapa na sisi, kwanini usimueleze yeye kwanza.
Thnks, nitafuatilia hili nijue kiundan period yake ya mwshoMimba huhesabiwa toka mzunguko wa mwisho wa mwanamke. Yaani ile tarehe yake ya mwisho ya period, alipomaliza period, kesho yake ndo tarehe ya kwanza ya mimba.
Piga hesabu zako vizuri mkuu usije bambikiziwa kiumbe ambacho sio chako kisa tu amekuona wewe mnyonge.
Ilikuwa kemia..Thnks, nitafuatilia hili nijue kiundan period yake ya mwsho
Bora umemwelewesha mi naona uvivu kuandika,watu wengi hawajui kuhesabu umri wa mimba wao wanadhani siku ya kudo ndo umri wa mimbaIkiwa mlifanya tendo la ndoa na mpenzi wako wiki tatu zilizopita na kipimo cha ultrasound kinaonyesha kuwa ana ujauzito wa wiki 5 na siku 2, inawezekana kwamba mtoto ni wako. Kipimo cha ultrasound kawaida hupima muda wa ujauzito kuanzia siku ya kwanza ya hedhi ya mwisho ya mwanamke (LMP), ambayo ni takriban wiki mbili kabla ya yai kuachiliwa (ovulation) na mimba kutungwa. Hii inamaanisha kuwa ujauzito wa wiki 5 na siku 2 ungehusishwa na kutungwa kwa mimba takriban wiki 3 zilizopita.
Mkuu mtoto wa mwenzio ni wqko,lea tuIshu sio mimi kufaa kuwa baba, je hio ni damu yang. Naogopa kuja kulea mimba ambayo na mashaka nayo
Naunga hoja hii mkonoKama ulishapiga mimba ni ya kwako mkuu, mpaka akusingizie wewe alishaona unafaa kuwa baba wa mwanae ,tusaidiane kwa upendo tu mkuu.