Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Hawa wachezaji msimu huu na uliopita ukiwaangalia ni watu ambao wana malengo fulani na kuna kitu wanakitafua ila miili inakataa.
Hii ni dalili kwamba wana uchovu wa muda mrefu au umri umewatupa mkono .
Kwa hapa Uchovu sidhani ila nina shaka na umri halisi sio wa kwenye makaratasi.
Timu iwe makini tunapofanya Usajiri .
Hii ni dalili kwamba wana uchovu wa muda mrefu au umri umewatupa mkono .
Kwa hapa Uchovu sidhani ila nina shaka na umri halisi sio wa kwenye makaratasi.
Timu iwe makini tunapofanya Usajiri .