Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 704
- 1,331
Mh waziri una watendaji viburi sijawahi kuona. Au wamegoma? Kuna shida gani ndani ya wizara yako?
Tumekaa miezi na miezi maji hayatoki na leo hakuna maji pamoja na ujio wako. Hawa watendaji wametoa wapi. Ni Watanzania kweli hawa?
Wana roho mbaya sana. Kama tank halikuwa na maji na wamejaza kwanini maji yanatoka dakik 5 na kukatika?
Leo ni siku ya 3 tangu matone matone yalipopita kwenye bomba langu. Kwanini kuna hali kama hii?
Naweka location hapa.
Pia soma Dar: Waziri Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA, Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake
Location
Hapa hakuna maji
Tumekaa miezi na miezi maji hayatoki na leo hakuna maji pamoja na ujio wako. Hawa watendaji wametoa wapi. Ni Watanzania kweli hawa?
Wana roho mbaya sana. Kama tank halikuwa na maji na wamejaza kwanini maji yanatoka dakik 5 na kukatika?
Leo ni siku ya 3 tangu matone matone yalipopita kwenye bomba langu. Kwanini kuna hali kama hii?
Naweka location hapa.
Pia soma Dar: Waziri Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA, Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake
Location
Hapa hakuna maji