3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Fitna zimaletwa baada ya jamaa kusajiliwa simba na kuipiga chni utopoloKwani huyo ana uwezo gani mpk afanyiwe fitna na kwa kipi hasa alichonacho?
Halafu TFF mbona kuna wachezaji wazuri huko nje mpk kesho wanahitaji kuchezea timu ya Taifa ila hawafanyi mkakati wa kuwaombea uraia kama walivyofanya kwa huyu mburundi? Licha ya kuwa mmoja wa wazazi anakuwa ni mtanzania