Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu, nina maziwa kana kwamba ndiyo yanaanza kukua, sina raha na sidiria lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa, ha ha ha. Nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana, lakini mdogo wangu ana miaka ishiri naye hivyo hivyo akivaa wala hakasiriki.

Sielewi, na hata akivaa ya kubana wala hamsemi, shughuli ipo kwangu! Sasa je, nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah, nina mtihani!
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgong kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi,na kutosimamisha chuchu,Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua,sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha
Hayo yanatakiwa kunyonywa ili yaongezeke yaje yalale
 
Naweka zile silicone, taja size unayopenda chap kwa haraka, ingawa kwa umri wako size D itakufaa kutokana na maelezo yako.
😁😁😁
Ha ha Sidilia inaniumiza inanibana tu ata nikiweka pini za mwisho bado naumia tu kifua na mgongo lakini nisipovaa nguo hazikai poa so lazima nivae!!!
 
Back
Top Bottom