Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Biashara ya huo mzigo unauzia sehemu gani
 
Ha ha Sidilia inaniumiza inanibana tu ata nikiweka pini za mwisho bado naumia tu kifua na mgongo lakini nisipovaa nguo hazikai poa so lazima nivae!!!
Weka picha ya hilo eneo basi ili tuamini! Acha kuturusha roho.
 
Umenikumbusha mbali Sana [emoji38] bas tu hata kapicha hakapo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sizani kama Nina tatizo,dawa ni kutovaa sidilia maana nikiacha kuvaa nakuwa poah tu shida naona nitawakwaza wanaoniangalia mana nguo inachoresha chuchu
Si umeona sasa! Yaani unafanya tu makusudi ili kutuharibia siku zetu. Binti una tabia mbaya sana. Kuanzia sasa anza kuvaa sidiria!
 
Wa ivo naoa.
 
Hili Tangazo... Hujalipia JF. Ni namna flani ya Kijanja kutangaza biashara au bidhaa yako.
 
Unajiuza siyo. Weka picha tukuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…