Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Leta tuyanyonyee
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu...
 
Uzi bila picha mnato ni uongo wa kutizamwa, ila ivo ni vizuriii kwa ile style ya kupakatwa nameza iko kidodo chote
Niko nae hapa Kahama, anachosema ni kweli kabisa
20220730_132953.jpg
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu...
Weka picha
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu...
Tuyaone kwanza, kisha ndio tushauri
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu, nina maziwa kana kwamba ndiyo yanaanza kukua, sina raha na sidiria lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa, ha ha ha. Nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana, lakini mdogo wangu ana miaka ishiri naye hivyo hivyo akivaa wala hakasiriki.

Sielewi, na hata akivaa ya kubana wala hamsemi, shughuli ipo kwangu! Sasa je, nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah, nina mtihani!
Pole je yamekuwa?
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu, nina maziwa kana kwamba ndiyo yanaanza kukua, sina raha na sidiria lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa, ha ha ha. Nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana, lakini mdogo wangu ana miaka ishiri naye hivyo hivyo akivaa wala hakasiriki.

Sielewi, na hata akivaa ya kubana wala hamsemi, shughuli ipo kwangu! Sasa je, nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah, nina mtihani!
Niletee nivikuze
 
Ayooh mana request n nyingi jamani uko pm mmefurika haswaaaa kumbe mnapenda matiti madogo wanaume bhana mna mambo.......
Huko Nyuma Kuna Jamaa anashangaa mpododo. Kumbe unafanya kazi ya barmaid.!?
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.
...
Fuata jinsi wazazi wako wanavyotaka siku ukitoka kwao ndo ufanye unavyotaka
 
Back
Top Bottom