Nina maumbile madogo ya uume

Nina maumbile madogo ya uume

Nakazia hamna uume mdogo mbele ya maokoto.
Sio kweli acha kumfariji uongo. Wanawake ni washenzi na walaghai wanajua udhaifu wetu ni wao so usimdanganye, mim inafika nchi 7 unene uhakika naelewa heshima nayoipata kw wanawake



Hapo zaid utachunwa pesa zako tu na kibamia chako


Pambana kikue kdg mzee.... Muhmu sn
 
Ridhika tu na na ulichonacho. Hakuna maajabu huko ndani unakotaka kufika.
Kuna kigololi tu.
 
Sungura anaruka ruka huku na kule anaishi miaka chini ya 10, kobe anamwendo mdogo ila ana miaka mingi mwishoni unakuta aliporuka ruka Sungura kwa muda mfupi kobe naye alipita sababu kaishi miaka mingi.

Umenyimwa uume mkubwa kuna kingine umepewa kufidia hilo, Ndivyo nature ilivyo. Tumia ulivyonayo achana na usivyonavyo.
Mkuu umenifurahisha. Nilikuwa nasoma kuhusu biashara na masoko ya condoms. Kumbe kwa sehemu kubwa ya condoms zinazouzwa nchi za Asia ni small and medium condoms yaani watu wana maumbile madogo lakini huwezi amini Bara la Asia ni bara linalopiga hatua kubwa kiuchumi. Na ndio Timu kataa ndoa inakuwa kwa kasi hasa Japan. Kumbe maisha sio sex tu bali yako mengi ya kufanya na hili ni gumu kueleweka kama mtu ni masikini maana watu masikini wanapiga mashine hatari.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho, hakuna logic yoyote hapo, mzunguko wa damu mzuri utaisaidia isimame vizuri wakati wa erection, lakini sio kwamba iongezeke size, danganya mjinga mkuu.
Nipe science behind unachokisema hapa kama sio hadithi za abnuwasi.
We ni mpuuzi wa karne, kasome jelqing ni nini kisayansi kwanza.
👉Fatilia Historia ya jelqing, na uthibitisho wa madaktari.
👉Uone ime success kwa watu asilimia ngapi, sio una kuja na bichwa ka papai la kiangazi.
 
Cm 8 kaka
Means ni Inchi 3.5....!

Binafsi tukiwa wadogo, kulikua na majani flani ya mti, tulikua tunaenda kuchanja kwenye Tunda la Madodoki, nimesahau jina, unachagua Size ambayo unataka then unacha kidogo kwenye Shingo ya Uume....! Then yale majani tukichanganya na utomvu wa Dodoki tunapakaza kwenye Chale ndogo....!

Kwa imani za kitoto kwamba kadri lile Dodoki linavyokua ndo Uume utakua mkubwa, tukishakua wakubwa.

So kazi yetu ilikua kila wakati kwenda kutembelea lile Dodoki kuona Maendeleo yake, na Dodoki likikua kwa ukubwa unaoona unafaa, unalikata... Na kwamba ukilikata tu basi Uume wako utaishia Size hiyo...!

Sina Kibamia, ni mrefu kwenda juu na kwenda chini, ila sidhani kama ilikua ni kwa msaada wa lile Dodoki!

All in all hakuna Dawa za kurefusha Uume, maumbile yako ndo vile ulivyoumbwa, ridhika na hari yako!

Pia unaweza kuchagua na wanawake wa kutembea nao, kuna wengine wana Uke Mkubwa, Uke Mrefu, wale Mizigo mikubwa tuachie sisi, kuja wale Slim waachie wengine!

Tafuta size zako wako aina flani ya wanawake wana Uke Mdogo, komaa nao hao.
 
Kwanza hakuna maumbile madogo au makubwa , yote ni sawa ,kwa hiyo ondoa hiyo dhana na futa kabisa kwenye kichwa chako , na hii huenda inakuletea hofu

2. Katika asili tunachoangalia ni je unafanya Kazi sawasawa , Uume unasimama vizuri ( Energy interactions / Communications )

By Joseph Mwabange from Xianhe international or Heshoutang Natural health system

Not:
Kama Erection ipo yaani uume husimama lakini ukianza kufanya mapenzi ndani ya dk 1 umemaliza na huwezi rudia tendo , basi hiyo ni shida

Au uume hausimami vizuri yaani haukazi , na kusimamia show ni dk 5 kurudi chini , pia ni shida kidogo
Mwanaume kiwango cha kufanya mapenzi ni kuanzia dk 5 kwenda juu
Pia hii hulingana na umri pia

Ili kutunza afya yako unatakiwa kufanya mapenzi Kama ifuatavyo:

[emoji117]3 times per week: < 30 years old
[emoji117]2 times per week < 40 years old
[emoji117]1 time per week < 50 years old

[emoji117]2 times per month < 60 years old
[emoji117]1 time per month < 70 years old

NB: Afadhali kutofanya sex ufikapo miaka 70

Mfumo unao control sex ni mfumo wa Figo , kwa hiyo tunaangalia Nishati / Energy ya mfumo wa Figo ( Figo & Kibofu )

Kuna mambo mengi ya kuhakikisha :
1. Nishati ya Figo
2. Mzunguko wa damu

Nishati ya Figo Kama ipo chini , Tunarudishia , Kisha Figo itafanya Kazi vizuri , hata kwa wale Figo zimefeli , maana yake zimekosa nishati , Tunarudishia nishati ,inarudi kwenye uzima wake !

Mzunguko wa damu ni muhimu sana kuhakikisha upo sawa kwa tatizo lolote la binadamu , maana kwenye damu ndio kuna virutubisho vyote , kuketa uponyaji

Kwa hiyo lazima kuvunja mikwamo kwenye mishipa na kufungua mishipa ili damu iweze safiri vizuri na kufikia mifumo na kuleta uzima zaidi

Kwa kanuni hiyo ,mwili unarudia asili yake na kuponya kila ugonjwa ,

Sex utafurahia kwa kiwango cha juu !

Hizi dawa za kuongeza nguvu za kiume , au kuongeza uume , unajiua mwenyewe , maana sio suluhisho na zinaenda kinyume na utendaji wa mfumo wa mwili wako !

Kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali au matatizo ya kiafya ,wasiliana nasi

+255757577995 View attachment 2865573
Oya, usitudanganye kisa hiyo biashara yako,..unaposema maumbile yote yapo sawa huo ni uwongo mkubwa sana,....nenda kasome kuhusu "MICRO PENIS'" ndo uje kucoment hapa.

Pia inafikirisha sana kuhusu hayo MADAWA yenu ikiwa tu hata mifumo ya mwili wa binadamu hamuijui...
 
We ni mpuuzi wa karne, kasome jelqing ni nini kisayansi kwanza.
👉Fatilia Historia ya jelqing, na uthibitisho wa madaktari.
👉Uone ime success kwa watu asilimia ngapi, sio una kuja na bichwa ka papai la kiangazi.
Matusi sio solution mkuu, mimi nakwambia ninachokijua, bishana kwa hoja sio matusi.

IMG_20240109_104435_1.jpg
 
Ukiwa na hela ya kuhonga hata uwe na kibamia watakuambia unawaumiza kwa unavyowapelekesha.
Nakumbuka enzi hizo Niko 17 years nilikua sijajua kuhonga mwanamke Ni kiasi gani, Kuna mmama MTU wa makamo alikua ananisifia Sana, nikaja kugundua nilikua namkatia pochi la nguvu.
 
Ushauri wa bure.
Wenye vibamia achaneni na kutumbukiza yote, wewe hangaika na katerero hapa juu juu ambàko ndio ambàko mwanamke anasikia utamu.
Utanishukuru baadaye.
 
Ridhika tu na na ulichonacho. Hakuna maajabu huko ndani unakotaka kufika.
Kuna kigololi tu.
hahahah we jamaa fala sana,kwamba umeamua kumuhadithia kile ye hawezi kukifikia..
sema ulichomwambia ni kweli hivyo asiwaze sana anachomiss n iko kigoroli,japo kina raha ake ukiwa unapishana nacho muda wa kwenda nakurudi.
 
Mimi ni kijana ambae niko mtaani nafanya mishe zangu fresh ila kuna jambo linanitatiza sana, mwenye ujuzi naomba anisaidie.

Ni hivi; nina maumbile madogo ya uume mpaka najiogopa. Nimekuwa nikitemwa na kuzarauliwa na kila msichana ambaye nakuwa naye kwenye mahusiano.

Hii hali huwa inanitesa sana, hivyo kama kuna mdau anajua njia bora na ya asili ya kuongeza maumbile anisaidie hii hali haivumiliki wazee.
Nenda instagram mtafute mtu anaitwa ngoshafit atakusaidia hapa utapata kejeli tu..
 
hahahah we jamaa fala sana,kwamba umeamua kumuhadithia kile ye hawezi kukifikia..
sema ulichomwambia ni kweli hivyo asiwaze sana anachomiss n iko kigoroli,japo kina raha ake ukiwa unapishana nacho muda wa kwenda nakurudi.
🤣🤣
 
Back
Top Bottom