Sio kweli acha kumfariji uongo. Wanawake ni washenzi na walaghai wanajua udhaifu wetu ni wao so usimdanganye, mim inafika nchi 7 unene uhakika naelewa heshima nayoipata kw wanawakeNakazia hamna uume mdogo mbele ya maokoto.
Mkuu umenifurahisha. Nilikuwa nasoma kuhusu biashara na masoko ya condoms. Kumbe kwa sehemu kubwa ya condoms zinazouzwa nchi za Asia ni small and medium condoms yaani watu wana maumbile madogo lakini huwezi amini Bara la Asia ni bara linalopiga hatua kubwa kiuchumi. Na ndio Timu kataa ndoa inakuwa kwa kasi hasa Japan. Kumbe maisha sio sex tu bali yako mengi ya kufanya na hili ni gumu kueleweka kama mtu ni masikini maana watu masikini wanapiga mashine hatari.Sungura anaruka ruka huku na kule anaishi miaka chini ya 10, kobe anamwendo mdogo ila ana miaka mingi mwishoni unakuta aliporuka ruka Sungura kwa muda mfupi kobe naye alipita sababu kaishi miaka mingi.
Umenyimwa uume mkubwa kuna kingine umepewa kufidia hilo, Ndivyo nature ilivyo. Tumia ulivyonayo achana na usivyonavyo.
Kweli boss, Kwa mwanaume mafanikio huja kwa kasi ukiweza kuitawala tamaa ya wanawake na ukafanya kazi kwa bidii.
We ni mpuuzi wa karne, kasome jelqing ni nini kisayansi kwanza.Hakuna kitu kama hicho, hakuna logic yoyote hapo, mzunguko wa damu mzuri utaisaidia isimame vizuri wakati wa erection, lakini sio kwamba iongezeke size, danganya mjinga mkuu.
Nipe science behind unachokisema hapa kama sio hadithi za abnuwasi.
Hongera mzee mimi nna mwanangu alituambia ana sentimita 3 hlf anawat**mba balaa jiamini mzee baba sema pia uwe unawapiga kma unabaka watafeel tu kkaKama cm 8 kaka
Means ni Inchi 3.5....!Cm 8 kaka
Oya, usitudanganye kisa hiyo biashara yako,..unaposema maumbile yote yapo sawa huo ni uwongo mkubwa sana,....nenda kasome kuhusu "MICRO PENIS'" ndo uje kucoment hapa.Kwanza hakuna maumbile madogo au makubwa , yote ni sawa ,kwa hiyo ondoa hiyo dhana na futa kabisa kwenye kichwa chako , na hii huenda inakuletea hofu
2. Katika asili tunachoangalia ni je unafanya Kazi sawasawa , Uume unasimama vizuri ( Energy interactions / Communications )
By Joseph Mwabange from Xianhe international or Heshoutang Natural health system
Not:
Kama Erection ipo yaani uume husimama lakini ukianza kufanya mapenzi ndani ya dk 1 umemaliza na huwezi rudia tendo , basi hiyo ni shida
Au uume hausimami vizuri yaani haukazi , na kusimamia show ni dk 5 kurudi chini , pia ni shida kidogo
Mwanaume kiwango cha kufanya mapenzi ni kuanzia dk 5 kwenda juu
Pia hii hulingana na umri pia
Ili kutunza afya yako unatakiwa kufanya mapenzi Kama ifuatavyo:
[emoji117]3 times per week: < 30 years old
[emoji117]2 times per week < 40 years old
[emoji117]1 time per week < 50 years old
[emoji117]2 times per month < 60 years old
[emoji117]1 time per month < 70 years old
NB: Afadhali kutofanya sex ufikapo miaka 70
Mfumo unao control sex ni mfumo wa Figo , kwa hiyo tunaangalia Nishati / Energy ya mfumo wa Figo ( Figo & Kibofu )
Kuna mambo mengi ya kuhakikisha :
1. Nishati ya Figo
2. Mzunguko wa damu
Nishati ya Figo Kama ipo chini , Tunarudishia , Kisha Figo itafanya Kazi vizuri , hata kwa wale Figo zimefeli , maana yake zimekosa nishati , Tunarudishia nishati ,inarudi kwenye uzima wake !
Mzunguko wa damu ni muhimu sana kuhakikisha upo sawa kwa tatizo lolote la binadamu , maana kwenye damu ndio kuna virutubisho vyote , kuketa uponyaji
Kwa hiyo lazima kuvunja mikwamo kwenye mishipa na kufungua mishipa ili damu iweze safiri vizuri na kufikia mifumo na kuleta uzima zaidi
Kwa kanuni hiyo ,mwili unarudia asili yake na kuponya kila ugonjwa ,
Sex utafurahia kwa kiwango cha juu !
Hizi dawa za kuongeza nguvu za kiume , au kuongeza uume , unajiua mwenyewe , maana sio suluhisho na zinaenda kinyume na utendaji wa mfumo wa mwili wako !
Kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali au matatizo ya kiafya ,wasiliana nasi
+255757577995 View attachment 2865573
Unaposikia Mtu KAJINYONGA, usichukulie poa....Aisee mbona masela mnapitia mengi kitaa, 6.5 cm tu ???
Matusi sio solution mkuu, mimi nakwambia ninachokijua, bishana kwa hoja sio matusi.We ni mpuuzi wa karne, kasome jelqing ni nini kisayansi kwanza.
👉Fatilia Historia ya jelqing, na uthibitisho wa madaktari.
👉Uone ime success kwa watu asilimia ngapi, sio una kuja na bichwa ka papai la kiangazi.
Kaka shida una bishana ujinga, Sina time ya kukujibu.Matusi sio solution mkuu, mimi nakwambia ninachokijua, bishana kwa hoja sio matusi.
View attachment 2866001
Dah we Masha love was bongo tulia😆🤣😀Kwa huo urefu, vzur iwe nene, ikiwa nyembamba kaz ipo.
hahahah we jamaa fala sana,kwamba umeamua kumuhadithia kile ye hawezi kukifikia..Ridhika tu na na ulichonacho. Hakuna maajabu huko ndani unakotaka kufika.
Kuna kigololi tu.
Nenda instagram mtafute mtu anaitwa ngoshafit atakusaidia hapa utapata kejeli tu..Mimi ni kijana ambae niko mtaani nafanya mishe zangu fresh ila kuna jambo linanitatiza sana, mwenye ujuzi naomba anisaidie.
Ni hivi; nina maumbile madogo ya uume mpaka najiogopa. Nimekuwa nikitemwa na kuzarauliwa na kila msichana ambaye nakuwa naye kwenye mahusiano.
Hii hali huwa inanitesa sana, hivyo kama kuna mdau anajua njia bora na ya asili ya kuongeza maumbile anisaidie hii hali haivumiliki wazee.
🤣🤣hahahah we jamaa fala sana,kwamba umeamua kumuhadithia kile ye hawezi kukifikia..
sema ulichomwambia ni kweli hivyo asiwaze sana anachomiss n iko kigoroli,japo kina raha ake ukiwa unapishana nacho muda wa kwenda nakurudi.