puntet gobongo
Member
- Aug 13, 2019
- 40
- 20
Umenena ukweli mtupu,,that's it ,kama ni hela tafuta kwa manufaa yako ,kwa kua maisha yako yashakua hivyo ukimpata ataekupenda hivyo ulivyo sawa usipompata basi,Jikubali mkuu hayo mavitu unatafuta yatakuletea shida.
Na wengi wanaohibiri kutibu hizo mambo ni matapeli.Utaliwa vihela vyako bure.Jikubali,ndo ulivyo umbwa tulia,maisha yana mengi mazuri zaidi ya mdushe mkubwa.
Wala usipate stress za kutafuta hela ili upendwe na wanawake.Tafuta hela kwa manufaa yako.Utampata tu wa kukukubali ulivyo.
Duh..Usijali haupo peke yako
Hata mimi hivyohivyo
Hamna kitu ,, ongeza urefu wa kimo basi kama wewe una futi 5 7" ongeza uwe futi sita, afu unapiga na biti kabisa eti kama hujui tuliaShida una ujuuaji wa kipuuzi, ngoma huwa Ina ongezeka Kutokana na mzunguko mzuri wa damu.
👉Hiyo Tiba Ime saidia wengi, nilio ona wame tibiwa.
👉Tena hapo Sija semea kitu myegea, Kama hujui tulia
Search Ehud Arye Laniado utajua Huyo upasuaji huwaga unacomplications kiasi ganiTallbata 8cm ikiwa imesimama ni kibamia(micropenis). Hapo ni 3.14in, vibamia vinaanzia 3.67in kushuka.
Tafuta urologist, mitishamba utapoteza muda wako tu
Naskia kuna testoterone therapy, au upasuaji ndo vinatumika kutibu(naskia)
Hapana you wrong ,money doesn't solve everything we who are poor believe so but it isn't the case always, search ehud arye laniadoHela ina solve problems zote.
Umesema sahihi kabisa,, mwambie Huyo mwenzi wako kama atakubaliana na wewe ishi nae akikataa basi ndo maisha yenyewe hayaMkuu usihangaike na hiyo changamoto kwa sababu iko nje ya uwezo wako na unaumiza kichwa bila sababu. Unaumizaje kichwa kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke na kuumiza moyo wako? Usifiche tatizo,ukipata demu kaa naye chini mjadili hiyo changamoto yako. Ukokosa wewe hakikisha unakua na hela zako uzae watoto wako ulee wakiwa kwa mama zao ufurahie maisha yako.
Nasisitiza uache kuumiza kichwa ili kuwafurahisha wanawake huku ukiharibu maisha yako!
Hapana ukweli uwe ukweli maumbile madogo yapo na makubwa yapo pia.Kwanza hakuna maumbile madogo au makubwa , yote ni sawa ,kwa hiyo ondoa hiyo dhana na futa kabisa kwenye kichwa chako , na hii huenda inakuletea hofu
2. Katika asili tunachoangalia ni je unafanya Kazi sawasawa , Uume unasimama vizuri ( Energy interactions / Communications )
By Joseph Mwabange from Xianhe international or Heshoutang Natural health system
Not:
Kama Erection ipo yaani uume husimama lakini ukianza kufanya mapenzi ndani ya dk 1 umemaliza na huwezi rudia tendo , basi hiyo ni shida
Au uume hausimami vizuri yaani haukazi , na kusimamia show ni dk 5 kurudi chini , pia ni shida kidogo
Mwanaume kiwango cha kufanya mapenzi ni kuanzia dk 5 kwenda juu
Pia hii hulingana na umri pia
Ili kutunza afya yako unatakiwa kufanya mapenzi Kama ifuatavyo:
[emoji117]3 times per week: < 30 years old
[emoji117]2 times per week < 40 years old
[emoji117]1 time per week < 50 years old
[emoji117]2 times per month < 60 years old
[emoji117]1 time per month < 70 years old
NB: Afadhali kutofanya sex ufikapo miaka 70
Mfumo unao control sex ni mfumo wa Figo , kwa hiyo tunaangalia Nishati / Energy ya mfumo wa Figo ( Figo & Kibofu )
Kuna mambo mengi ya kuhakikisha :
1. Nishati ya Figo
2. Mzunguko wa damu
Nishati ya Figo Kama ipo chini , Tunarudishia , Kisha Figo itafanya Kazi vizuri , hata kwa wale Figo zimefeli , maana yake zimekosa nishati , Tunarudishia nishati ,inarudi kwenye uzima wake !
Mzunguko wa damu ni muhimu sana kuhakikisha upo sawa kwa tatizo lolote la binadamu , maana kwenye damu ndio kuna virutubisho vyote , kuketa uponyaji
Kwa hiyo lazima kuvunja mikwamo kwenye mishipa na kufungua mishipa ili damu iweze safiri vizuri na kufikia mifumo na kuleta uzima zaidi
Kwa kanuni hiyo ,mwili unarudia asili yake na kuponya kila ugonjwa ,
Sex utafurahia kwa kiwango cha juu !
Hizi dawa za kuongeza nguvu za kiume , au kuongeza uume , unajiua mwenyewe , maana sio suluhisho na zinaenda kinyume na utendaji wa mfumo wa mwili wako !
Kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali au matatizo ya kiafya ,wasiliana nasi
+255757577995 View attachment 2865573
Umesema ukweli,ila hapo kwenye kupambana ikue hamna uwezekano huo ,,yeye atafute peace of mind aishiSio kweli acha kumfariji uongo. Wanawake ni washenzi na walaghai wanajua udhaifu wetu ni wao so usimdanganye, mim inafika nchi 7 unene uhakika naelewa heshima nayoipata kw wanawake
Hapo zaid utachunwa pesa zako tu na kibamia chako
Pambana kikue kdg mzee.... Muhmu sn
Amini kwamba, Mimi nishasikia Mtu aliyejinyonga na sababu kuu ilikua hili hili tatizo ambalo watu wanalifanyia mzaha hapaUnaposikia Mtu KAJINYONGA, usichukulie poa....
Haha..Sijawahi kusikia
Nimemtia moyo hasijihisi yupo peke yakeHaha..
Sasa mbona umesema na wewe una kiba100 wakati wewe ni Ke?
Ina maana Wapare ni kama Wachina kwa viba100 ?Imesema inchi name au sentimita name ikisimama?
Hii study imefanyiwa wazingu, wapare na wachina. Inchi tano ikiwa imesimama kwa mswahili bado Ni kibamia.
Wapare Ni wafupi Sana Tena sanasanaIna maana Wapare ni kama Wachina kwa viba100 ?
hii ni shida inamkabili ndugu yangu na mpaka sasa tumeshindwa kupata majibuMimi ni kijana ambae niko mtaani nafanya mishe zangu fresh ila kuna jambo linanitatiza sana, mwenye ujuzi naomba anisaidie.
Ni hivi; nina maumbile madogo ya uume mpaka najiogopa. Nimekuwa nikitemwa na kuzarauliwa na kila msichana ambaye nakuwa naye kwenye mahusiano.
Hii hali huwa inanitesa sana, hivyo kama kuna mdau anajua njia bora na ya asili ya kuongeza maumbile anisaidie hii hali haivumiliki wazee.
we ni hohoooo kbisaa 🤣🤣🤣🤣🤣Oyaaaa Wazeee cm 8 Nikafupi Vibaya mnoooView attachment 2865313
Duh,Kama cm 8 kaka
Inasaidia achana naye.....Shida una ujuuaji wa kipuuzi, ngoma huwa Ina ongezeka Kutokana na mzunguko mzuri wa damu.
👉Hiyo Tiba Ime saidia wengi, nilio ona wame tibiwa.
👉Tena hapo Sija semea kitu myegea, Kama hujui tulia