Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

1.9m tu ujiue?

Mimi binafsi nadaiwa 12,900,000/= na jamaa alinipa ninunue mazao nikaziga zote.

Mke wangu aliingia vikoba akakopa yeye na kukopea mashoga zake kama laki 9 Kila siku jam mageto.

Ninapoandika hapa, nawaza kumteknisha tajiri WA ng'ombe anipe maksai za kulimia nianze vibarua kwa watu.

Mwisho, wanaokudai wote waambie wakupe miezi 6 ujipange. Wakienda popote unaitwa uende na utoe ushirikiano kuwa kwa sasa mambo Yako yameenda mrama Hadi miezi sita utawalipa.

Usiogope selo Wala gerezani. Huko ndo pakupumzika na kupewa morali na mawazo chanya na Wana.


Usijifhulu dogo.
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
pole sana,
ni muhimu zaidi kua mstahimilivu na mwenye subra. Changamoto kwenye maisha haziepukiki.

Ni jambo la maana zaidi kuzigeuza changamoto hizo na kuzifanya kua fursa ya kufanya vizuri zaidi na kwa umakini zaidi, huku ukimshirikisha Mungu kukuonyesha njia, na kumuomba akufanyie wepesi palipo pazito.

Usijifungie ndani tu ukiwa katika mkwamo kama huo. Toka nje na epuka kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe. Matokeo ya hali hiyo huwa ni pamoja hilo hitimisho ovu, la fedheha na baya sana unalofikiria, kujitoa uhai.

Shirikisha ndugu, jamaa na marafiki, wale unaowaamini na bilashaka yoyote, kwa Neema na Baraka za Mungu, utapata suluhu njema ya unachopitia 🐒
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Jipe moyo. Usikate tamaa. Fanya sana ibada. Pole sana.
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Pole sana kijana ila nakushauri usiwaze hata kidogo kujidhuru kwa ajiri ya milioni mbili . Wewe bado kijana kuna mamilioni kama sio mabilioni yatapita mikononi mwako.
 
Tatizo lako ni kuwaza au kuumia kwa mambo yaliyopita, siku zote ukiwaza hayo utakata tamaa, utajilaumu, utajiona wewe ni mkosaji.
kuanzia leo sema naishi maisha mapya, mtegemee Mungu, tafuta fursa au msaada kwa yeyote
usione aibu kufanya vibarua au kazi yoyote ili mradi upate chochote

kumbuka deni halimfungi mtu, usiogope kudaiwa
 
Kuna uzi Wa Mtu humu jf alidai anadaiwa Bilioni 7 na benk na hata elf 10 ya kupunguza hata Deni naye alikuwa na mawazo kama yako.

Kuna watu wako hospitalini ndugu jaribu Kutembea hata mahospitalini hata pale Muhimbili utaona watu wanapesa kwenye Acc zaidi ya mamilioni na kwenye Acc zao haziwasaidia kitu Mtu ana cancer last stage, sukari, stroke.. yaani ukikuangalia wewe inachokitamani kwako ni Hiyo afya yako Njema.

Una utajiri mkubwa ndugu yangu, ambao unaweza kuutumia kuvipata vingine vilivyokosekana na maadamu unapumua. Bado haujachelewa, still nafasi ya vilivyoshindikana kuwezekana Ipo.


Husipopitia magumu, utakuwa na ushuhuda gani, furaha gani, na ujasiri gani ya kujivunia Wakati ambao umeshafanikiwa. Utawahusia nini Wanao na kuwajengaje Katika kupambana.

Maneno shujaa, Mshindi, Mpambanji, Tajiri, Mwongoza Njia, Mkurugenzi hayaji kirahisi. Hayo ndo mapito Yake, na hiyo ndo barabara Yake ya kufikio huko.

Hauko peke Yake ndugu, Tuko wengi tunaopotia magumu Kwa Sasa, Ila hatujafikia mbali kughairisha safari kwakuwa tunatoka malengo hayo tumeikubali gharama Yake Kwa namna yeyote ile.
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Nipe namba ya mke wako ili nimfariji baada ya kukuzika , hata kama Una mchepuko nipe namba yake
 
Back
Top Bottom