Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Ukitaka kujiweka sawa, ongea na watu mbalimbali juu ya mikasa yao ya maisha. Utagundua wewe tatizo lako lina nafuu. Jipe moyo MUNGU yupo kazini muda wote, kila kitu kitakaa sawa.
 
Hapo kwenye hela za manyoka imeonesha kichwani hauko sawa, ujinyonge kisa kudaiwa??
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA

Ndugu yangu, unaweza kudhani una tatizo kubwa lakini wewe huna shida... kuna watu wana shida.. nakupa mfano kuna jamaa leo hii ni mgonjwa wa ugonjwa mbaya usiopona, ana mke ambaye amemfukuza na huyo mke kauza mali za jamaa ikiwa magari na nyumba jamaa akiwa hoi.. sasa ana nafuu kapelekwa ustawi hapeleki matumizi kwa watoto, jamaa anapambana kulipa ada za watoto na hana kazi. Wewe una nguvu afya njema unataka kujiua?
 
Kijana una 29yrs na deni la tsh1.9m unataka kujiua?, acha mawazo ya hovyo na kitoto hayo, acha Mwenyezi Mungu mwenyewe akuchukue siku akipenda mwenyewe.

Kuna jambo linalonihusu sipendi Sana kulishare humu japo kuna siku nilitereza kumsaidia mtu kama wewe, PAMBANA KIJANA DUNIA HAIJAWAHI KUWA RAHISI, MAGUMU YAPO KILA MAHALA.
 
Kaza bro,kote kugumu....sema hatuongei tu....
Naomba usife kizembe at least fanya hata ujambazi ukafie kazini mkuu, please
 
AHSANTE KWA MAWAZO YENU NA MICHANGO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE IMENITULIZA, ILA NIKIRI KWAMBA KIAKILI SIPO SAWA
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA


Deni la Tshs 1.9 M unataka kujiua..?

Una akili fupi sana, kwa akili ndogo hivyo bora ungekunywa hizo dawa uwahi mapema uache dunia hii
 
1.9m tu ujiue?

Mimi binafsi nadaiwa 12,900,000/= na jamaa alinipa ninunue mazao nikaziga zote.

Mke wangu aliingia vikoba akakopa yeye na kukopea mashoga zake kama laki 9 Kila siku jam mageto.

Ninapoandika hapa, nawaza kumteknisha tajiri WA ng'ombe anipe maksai za kulimia nianze vibarua kwa watu.

Mwisho, wanaokudai wote waambie wakupe miezi 6 ujipange. Wakienda popote unaitwa uende na utoe ushirikiano kuwa kwa sasa mambo Yako yameenda mrama Hadi miezi sita utawalipa.

Usiogope selo Wala gerezani. Huko ndo pakupumzika na kupewa morali na mawazo chanya na Wana.


Usijifhulu dogo.
Nakumbuka pia bibi yangu hakuwacakiogopa madeni hata kama anadaiwa 5M na inamtesa kulipa ukija kumpa pesa yako ati akuwekee mahali salama kisa unaona hana mambo mengi, sijui mama ataitunza tu basi umemkopea hiyo, anaiingiza kwenye biashara zake, hakai na pesa acha adaiwe tu.

Pesa za hao vikoba akishika yeye, anaziingisha kwenye biashara zake wakizitala atapapatika mpaka awape 😂😂.
Yale maisha ya kashkash na umri wake vijana wengi wangeshindwa, ni risk taker mmoja hatari kabisa.

Sometimes haya mambo labda born talented mkuu, mwingine kudaiwa laki tu anahaha balaa, ila mwingine hana hata chanzo cha mapato na anadaiwa milioni na bado anataka kukopewa tena.
 
1.9m tu ujiue?

Mimi binafsi nadaiwa 12,900,000/= na jamaa alinipa ninunue mazao nikaziga zote.

Mke wangu aliingia vikoba akakopa yeye na kukopea mashoga zake kama laki 9 Kila siku jam mageto.

Ninapoandika hapa, nawaza kumteknisha tajiri WA ng'ombe anipe maksai za kulimia nianze vibarua kwa watu.

Mwisho, wanaokudai wote waambie wakupe miezi 6 ujipange. Wakienda popote unaitwa uende na utoe ushirikiano kuwa kwa sasa mambo Yako yameenda mrama Hadi miezi sita utawalipa.

Usiogope selo Wala gerezani. Huko ndo pakupumzika na kupewa morali na mawazo chanya na Wana.


Usijifhulu dogo.
[emoji419][emoji375][emoji375][emoji123]
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Pesa ndogo hiyo mzee. Na wanaokudai ni binadamu hawawezi kukuua. Dunia hii hakuna binadamu mwenye akili timamu hadaiwi. Tunachotafautiana ni viwango kulingana na uwezo tulionao. Kuhusu deni ni kuzungumza na wahusika usiogope aibu. Wewe ndio unajua ukweli na utatoka vipi.
1.9M haifanani na thamani ya uhai wako kwako mwenyewe na kwa wengine.

Mimi nimepitia hiyo hali hivi karibuni ilikuwa ngumu kwelikweli maana deni lilikuwa milioni kadhaa lakini kuwaza kujidhuru haikuwahi kuingia akilini. Nimeanza kupunguza baada ya miezi saba kupita. Pambana na maisha ndio ukomavu wa akili
 
Mtaji nambari moko ni afya man, kama uko njema basi shukuru Mungu, deni haliui.

Na siku zote jiweke wewe kwanza, sio umepata kwa mkupuo hiyo 1.9M ukimbilie kumlipa mdai na kibaba cha unga ndani huna.
Komaa kwanza ujijenge wewe sio kuwaza unalipaje deni na wewe una hali tete.
 
Back
Top Bottom