Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

Nina maumivu makubwa moyoni, hadi nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru

Usijiue bwana, kuna watu wanadaiwa mabilioni na wanakunywa wisky zao zinashuka vizuri. Kila mtu ana matatizo yake, usione watu wanafurahi, kucheka na kula bata. Wakikwambia matatizo yao, utajiona wewe huna tatizo.

Matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu, chukulia hilo deni kama changamoto tu, Mungu hufanya njia pasipo na njia. Utakuja kumaliza hilo deni, na kujiona hukuwa sawa kuwaza kujiua.
 
nyie wote mliomshauri huyu bwana hamjamsaidia maneno matupu hayavunji mfupa huyu tumchangie hela ya kununua sumu kama kuna mdau anajua sumu ya kuua fasta alete mchango wake watu wapumbavu unadeal nao kikumbavu Ubaya Ubwela.
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni, nimepata mawazo mengi mabaya kiasi cha kutamani kujidhuru lakini sijathubutu na kwa bahati mbaya niliruhusu kufa kiume na changamoto zangu lakini nimeshindwa

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 29 mwenyeji wa Kibondo-Kigoma kwa sasa Nipo Dar

Tatizo langu
Tangu October 2023 Nimepata changamoto kubwa sana za kifedha zilizoniharibia mipango yangu kwa ujumla na kuniacha na deni la Tsh 1.9M naishi kama chokoraa

I swear, KUNA muda ninapata wazo la kufanya CHOCHOTE ili nipate pesa ikiwemo HATA pesa za manyoka

Nimeamka usiku huu nikapata wazo la kunywa vidonge zaidi ya 10 vya Panadol, namshukuru Mungu nimeweza Kupambana na Hilo pepo

SIKO SAWA WAKUU

LENGO LA KUANDIKA HAPA NI LUUONYESHA ULIMWENGU NACHOPITIA Pengine HATA nikipotea nitatua mzigo kwa namna Moja ama nyingine

NIMESURRENDER
MAISHA YANGU YAMEHARIBIKA, YAMEKUFA
Hio hali unayopitia ni Depression/ sonona. Hutokana na mtu akipata changamoto inayomdidimiza na kumrudisha nyuma kimaisha mfno msiba, kufirisika nk
Huambatana na Suicidal thoughts/ mawazo ya mtu kujidhuru. Dalili zake hua ni

1 kupoteza furaha maishani
2. Kupoteza hamu ya kula
3 kupoteza interst na motivation ya kufanya kitu chochote
4 Insomnia kupotea kw usingizi
Ndo hufatiwa na mawazo ya kujiua au kujidhuru
Tafta mtu uongee nae akusapoti hata kifedha maana hapo ushaanza kupata changamoto zinazo didimiza Afya ya akili
 
Pole sana Kijana, kujiua sio mwisho wa maisha, hakuna jambo jema linalokuja pasipo kuwa na sababu zake. Maumivu na magumu unayoyapitia ndio furaha yako ya kesho.

Vumilia tu madeni sio kifungo au gereza ni kawaida sana kudaiwa, una afya njema, unapumua, unasikia na unatembea mshukuru Mungu kwa hayo. Halafu jifunze kuwa mtu wa shukrani sio kulalamika tu.
Pitia huu uzi wangu, utakubadilisha fikra

Thread 'Nukuu 6 za kurejesha hamasa na matumaini pale maisha yanapokua tofauti na matarajio' https://www.jamiiforums.com/threads/nukuu-6-za-kurejesha-hamasa-na-matumaini-pale-maisha-yanapokua-tofauti-na-matarajio.2061818/
 
Back
Top Bottom