MUUNGWANA MKUU
Member
- Aug 15, 2013
- 5
- 5
Wadau
katika kupambana na maisha ili kupunguza msongo wa mawazo wa kutegemea mshahara mwisho wa mwezi, nilianza ufugaji wa mbuzi na sasa nina zaidi ya mbuzi 900 katika mabanda yangu hapa dar es salaam na wengine zaidi ya 1500 kwenye mabanda yangu mkoani morogoro.
Ili kuboresha huduma na kumpunguzia mteja gharama, ninaweza kukuletea mbuzi mpaka mlangoni kwako kwa gharama zangu. Bei zangu ni za chini ukilinganisha na masoko ya mbuzi yote yaliyopo hapa dar es salaam. Nina mbuzi wa kuanzia 75,000 mpaka 100,000 kutegemea na ukubwa wake.
Kwa anayehitaji mbuzi wazuri kwa bei nafuu asisite kunitafuta kwa simu no.0786 294545
karibuni
katika kupambana na maisha ili kupunguza msongo wa mawazo wa kutegemea mshahara mwisho wa mwezi, nilianza ufugaji wa mbuzi na sasa nina zaidi ya mbuzi 900 katika mabanda yangu hapa dar es salaam na wengine zaidi ya 1500 kwenye mabanda yangu mkoani morogoro.
Ili kuboresha huduma na kumpunguzia mteja gharama, ninaweza kukuletea mbuzi mpaka mlangoni kwako kwa gharama zangu. Bei zangu ni za chini ukilinganisha na masoko ya mbuzi yote yaliyopo hapa dar es salaam. Nina mbuzi wa kuanzia 75,000 mpaka 100,000 kutegemea na ukubwa wake.
Kwa anayehitaji mbuzi wazuri kwa bei nafuu asisite kunitafuta kwa simu no.0786 294545
karibuni