Nina miaka 27 nina watoto 5. Je, nimewahi au nimechelewa?

Nina miaka 27 nina watoto 5. Je, nimewahi au nimechelewa?

Wakuu embu leteni ushauri nimechelewa? Au nimewahi?
Maana agizo la Nendeni ulimwenguni mkaijaze nchi nahisi bado sijalitendea kazi kabisa au mnasemaje
Write off kabisa. Yaani umekongoroka na kuwa skrepa. Tutengenezee majiko au tuuze kwa dealers wa chuma chakavu
 
Back
Top Bottom