vee vivian
Member
- Jul 4, 2020
- 25
- 86
Not cool bro...Umeshazeeka hustahili kuwa na mume wewe MSIMBE
😂 Kwanini utafute wasimbe ngosha na watoto wakali wamejaa. Ng'wana o Buyenze!Not cool bro...
Wengine ndo tunawatafuta hawa wasimbe [emoji16][emoji16][emoji16]
Ha ha haa, ila unaweza pata. Mungu mwema(ila duu,umejikaza kweli)Natafutaa mume serious ninamiaka 29 nimaji ya kunde Mimi nimwalim shule ya privet izi ila ninawatt wawil natafutaa mchumb kuanzia Miaka 30 kuendelea akiwa serious mpk kweny ndoa
PichaNatafutaa mume serious ninamiaka 29 nimaji ya kunde Mimi nimwalim shule ya privet izi ila ninawatt wawil natafutaa mchumb kuanzia Miaka 30 kuendelea akiwa serious mpk kweny ndoa
Mtoto mbichi huyo halafu unaleta utani?Ningekukata makofi ungekuwa jirani.Umeshazeeka hustahili kuwa na mume wewe MSIMBE
Ukistaarabika utajiona ulivyo boya!!Umeshazeeka hustahili kuwa na mume wewe MSIMBE