Nina Miaka 32, nahisi sitokuja kuoa kabisa

Nina Miaka 32, nahisi sitokuja kuoa kabisa

hapa naona wewe mwenyewe huezi penda mwingine zaidi ya lee unajifanya unamkomesha au unatwomba sana qumq nyingi kulupiza kisasi na kumbe udhaifu wako huwez oa mwingine mbali na lee na huyo lee hujiamini kwavile umrshuka kiuchumi ata akikwambia anakupenda unahs uongo ila ukweli ni unampenda sana shida nyote mbafanya km mnasusa.

endeleeen kususiana huku mnatakana siku mkiitwa baba au mama kwa mzazi mwenzio ambae hukumtarajia ndio akili itawakaa sawa mrudiane kiujwelikweli.
Kijana uchumi upo corona ilisha sasa na import vitu kama zamani shida tu si mwamini mtu i swear....... sio kwamba nampenda hata mara kibao anataka kurudi ila sasa huwezi elewa .....ni ngumu kukuelezea ndo maana watu huachana ..... sababu kuna vitu ukikumbuka mood inakataa kabisa
 
Mwaka huu una miaka 32, mwaka wanakuibia huyo Lee ulikuwa 31 na Lee ana 25. Lakini mlikutana miaka 7 iliyopita (2017) alikuwa na miaka 15! Mahesabu yako
Mahesabu naweza kosea ila she was around 18
 
Mi si mpenda kusoma uzi mrefu sana ila tu, mapenzi yana kero zake na msimamo wako ndio mafaniko yako, Uoe au Usioe ni maamuzi yako cha msingi tafuta pesa. Wakati wako wa kupendwa ulikuwa bado..
 
Bwana JONIJO too weak meeeeeeehhn...... Huwa napenda sana hizi vita! keeps me alive < Pole for yaliyokusibu but meeehn, its called survival for the fittest kenye hii animal kingdom, kama vile Get rich od die trying.... Kwenye maisha hhaya thats the only principle to keep u alive! stay Hungry bro, piga nyingi good babes everything will settle, i feel your pain through text it seems wewe sio mtu ambaye unapenda and within few years sio rahisi kupenda inatokea mara chache chache so unahisi hutopata! try this usipige demu sababu u can get her ,o to your standards za juu kabisa thats whenutafall inlove na kuondoa depression na mwisho kuoa ! but just like u said its just a FUCKING DIARY..... was dumping my shit while trying to review some pages of ur memories! KUDOS KID >> lastly, i personally nvite you to spain upunguze stress abit, uje lisbon then end of month tuhamie praia da rocha, Faro ambapo tamasha l afro nation litakuwepo , man all the girls are waiting for u
 
Back
Top Bottom