Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wa JF , naomba msaada wa kimawazo na ushauri, Nina Mil.10 ninaplan ya kujenga nyumba yenye vyumba 3,
Je kwa hiyo pesa nyumba yangu itaishia wapi?
Kwa wenye uzoefu wa mambo ya ujenzi tafadhari....
eehe ngoja lara 1 akusikie!!
eehe ngoja lara 1 akusikie!!
Du! kumbe huyu mdau sometimes anaongeaga fact!! ni kweli kabisa kwa pesa hiyo itafikia hadi kwenye lenta.Itafika mpaka level ya lenta kabla ya kuezeka. Hii ni iwapo hautacomplicate msingi. Ukicomplicate itaishia kwenye msingi tu.
Ukisimamia mwenyewe,yaani uwepo physically,na chenji itabaki kwa pesa hiyo!Nimefurahi sana mada hii kuiona, kwani mm nina m20, mchanga na mawe ya kutosha ninayo, eneo morogoro, room 3 , sittin' daining , jiko na stoo, naitakuwa ni selfconted, natarajia pia mnipe ushauri nitafikia wapi?? Wapendwa
Du! kumbe huyu mdau sometimes anaongeaga fact!! ni kweli kabisa kwa pesa hiyo itafikia hadi kwenye lenta.