Nina mil 5 nataka nitoe Zote ama nikitoa nisikumbane na makato makubwa niweke bank au Airtel money?

Naomba shule kuhusu hii fixed account mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba shule kuhusu hii fixed account mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio fixed account, wanaziita saving. Kila bank na utaratibu wake. Mfumo wao unafungua account unaweka fedha, fedha hizo unaweza kuzitoa wakati wowote ule unaotaka ilawao wanakuwa wameset idadi ya drawings unazoweza kufanya ili upewe gawio, mfano KCB, NMB, EQUITY. ni mara nne kwa mwaka, kadri fedha zinapokaa zaidi kunakuwa na bonus kwaasilimia kadhaa ya gawio utakalokuwa unapata. Na account hizo gawio hutolewa kila baada ya miezi minne. Tembelea bank husika ili kujua zaidi kuhusu hili
 
Weka airtel money Mkuu, huko bank utakatwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…