Usimhakikishie oddskwa hyo milion yako kesho saa 3 asbuhi, unaeza kua na milion 1 na laki moja. uko dar?
😂😂😂😂😂😂 kwanza nchekeUsimhakikishie odds
Wazo zurihiyo milioni moja unafungua genge la kisasa kabisa na unaajiri kijana
niliwahi kufungua banda la games tatizo kubwa mimi ni mtumishi sishindi nliweka kijana mwanzoni nilikuwa napata napiga hela ila baada ya miezi miwili simu za wazazi zikaanza kuita wanalalamika watoto wanaiba pesa nyumbani, sheria za kufungua kuanzia jioni, wezi, n.k.Kama uko kijijini anzisha playstation
Nina eneo huku bush nimeweka ps3 kama nne na ps4 4 nilianza na ps 3 mbili na nlikua naingiza 15k kwa siku
Mpaka sahv nacheza 35k to 40k siku nzuri
Kama uko mjini watakuja wa msaada maana hata na mimi ningekua mjini nisingeingiza hii hela
ukiongeza ukawa na milioni 2.5 ndio unanza vizuri kabisaWazo zuri
Kama ni kijijini, hata hiyo inatosha. Lakini kama ni mjini ajitahidi aongeze ongezee kidogo ifike hata 3M.ukiongeza ukawa na milioni 2.5 ndio unanza vizuri kabisa
kama yuko kijijini huko genge halina pesa kabisa wala asifungue ataishia kulogwa tuhKama ni kijijini, hata hiyo inatosha. Lakini kama ni mjini ajitahidi aongeze ongezee kidogo ifike hata 3M.
Kulingana na wazo lake kasema anatamani biashara ya tech
Hahaa 😂kama yuko kijijini huko genge halina pesa kabisa wala asifungue ataishia kulogwa tuh
kijijini si mahali pakuishi kabisaHahaa 😂
Kwa million hapo anapata PS4 Moja na TV inch 32...Kama uko kijijini anzisha playstation
Nina eneo huku bush nimeweka ps3 kama nne na ps4 4 nilianza na ps 3 mbili na nlikua naingiza 15k kwa siku
Mpaka sahv nacheza 35k to 40k siku nzuri
Kama uko mjini watakuja wa msaada maana hata na mimi ningekua mjini nisingeingiza hii hela
Mbona watu wanaishi, sema kijijini sio Sehemu ya kuonesha una Pesa. Ukipata pesa unaenda kufanyia maendeleo Sehemu nyinginekijijini si mahali pakuishi kabisa
Yani siwezi kuiweka vizuri kimaneno lakini akikaa sehemu ambayo haijaendelea sanaaa anaweza kupata 10k kwa sikukama yuko kijijini huko genge halina pesa kabisa wala asifungue ataishia kulogwa tuh
ni mji unaokua sio vipi wazawa ndio wengi au kuna mchanganyiko wa makabilaYani siwezi kuiweka vizuri kimaneno lakini akikaa sehemu ambayo haijaendelea sanaaa anaweza kupata 10k kwa siku
Simaanishi kijijini kabisa no
Sehemu flan hv
Sio bushiiiiii
Sio town
10k hakosi nna uhakika