zero to hero 199
Member
- Sep 8, 2021
- 55
- 78
Mkuu tumegee kidogo na sisiMimi pia Nina ideal nzuri Sana na nime I practice for five consecative years (nipo kwenye industry main stream in menagarial level)
Mimi Sito deal na pesa ya mtu yeye ata kua anakusanya pesa mwenyewe..
Yaan ukiwa na MA GURU bongo Maisha rahisi Sana Kama ku mpiga mlevi teke..
NB:
Saivi naona haja nitafute partner ili niweze kufanya hizi diversity zangu ngoja nianze fanya Lobbying kwa watu mbalimbali
Namwomba Mungu anikutanishe na watu sahihi..
sirenMimi pia Nina ideal nzuri Sana na nime I practice for five consecative years (nipo kwenye industry main stream in menagarial level)
Mimi Sito deal na pesa ya mtu yeye ata kua anakusanya pesa mwenyewe..
Yaan ukiwa na MA GURU bongo Maisha rahisi Sana Kama ku mpiga mlevi teke..
NB:
Saivi naona haja nitafute partner ili niweze kufanya hizi diversity zangu ngoja nianze fanya Lobbying kwa watu mbalimbali
Namwomba Mungu anikutanishe na watu sahihi..
😀Nipo pm mkuu.. Nipo mgodini Geita Kuna biashara tunaweza kufanya
"ambulance sirens"siren
Usisahau kununua friji na kitanda🤣Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Sasa kama kwa umri wako umekosa hiyo 6M, hiyo 7M utaitoa wapi ndani ya miezi mitatu?26 years akiba ya 16m na hujui cha kufanya!
Mimi naomba hiyo 6m nitakurudishia 7m baada ya miezi 3