Nina Milioni 16, naombeni ushauri

Nina Milioni 16, naombeni ushauri

Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Nina online program ya bure ninayofundisha watu namna ya kupata wazo la biashara Fasta. Nenda hapa Wazo Fasta
 
Mkuu hii hela umeipataje mpaka hujui cha kufanya?
 
Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Naiomba
 
Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
anza ata na laki tano tu agiza vitu china lete bongo niajili mm kama marketing officer wako hutojutia. mm napenda san ila mtaji ndo mdogo
 
Samahani, ila ukweli nikwamba pesa imeenda pahali pasipostahili. Nashauri unyang'anywe hiyo pesa hadi siku utayojua kazi ya pesa ninini.

Pesa inatafutwa kwa kusudi fulani, sio kwenda tu kutafuta. Kama huna kusudi la kutafuta pesa, hiyo pesa igawe na uache kazi. Ukipata kusudi utatafuta tena.
 
Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Ingia kwenye kufuga kuku wa mayai baada miezi mitatu huto juta
 
Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Kibarua miaka mitatu unamiliki pesa nyingi hivyo kwanini usiendelee na vibarua hivyo miaka mitatu mingine
 
Back
Top Bottom