zero to hero 199
Member
- Sep 8, 2021
- 55
- 78
- Thread starter
- #21
hahaSasa kama kwa umri wako umekosa hiyo 6M, hiyo 7M utaitoa wapi ndani ya miezi mitatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaSasa kama kwa umri wako umekosa hiyo 6M, hiyo 7M utaitoa wapi ndani ya miezi mitatu?
nishakula sana hizo pisi kali hakuna nilichokipata ,focus iko kwenye pesa sasaHamia dar es salaam uchukue pisi kali
asanteUkipata cha kufanya hasa biashara nakushauri usiwekeze hela yote.
asanteBiashara ya mazao ya chakula maelezo zaidi wewe mwenyewe ingia field ufanye utafiti kuanzia masoko mpaka shamban kwa mkulima. Kumbuka hakuna biashara rahisi labda punda wa kubeba sembe
Nitaipata 7mil kwa sababu ninayo 6mil tayariSasa kama kwa umri wako umekosa hiyo 6M, hiyo 7M utaitoa wapi ndani ya miezi mitatu?
Nina online program ya bure ninayofundisha watu namna ya kupata wazo la biashara Fasta. Nenda hapa Wazo FastaMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Mkuu hilo boat linacost kiasi gani?Je ni lambao au fiberglass?Kama ni la mbao litakuwNunua boti wape vijana wakavue samaki
Samaki ziwe zao 😄Nunua boti wape vijana wakavue samaki
NaiombaMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
anza ata na laki tano tu agiza vitu china lete bongo niajili mm kama marketing officer wako hutojutia. mm napenda san ila mtaji ndo mdogoMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
NAKAZIALabda kama ulikua umeajiriwa au umeuza kibanda Cha kurithi, au umepiga hela ya betting
Mpambanaji ambae ka hustle mpaka kapata 16M akiwa na 26 yrs hawezi kua hajui Cha kufanya labda Kama unatuchora
Ingia kwenye kufuga kuku wa mayai baada miezi mitatu huto jutaMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Bongo kila mtu anataka afungue fremu ya nguoSamaki ziwe zao 😄
Na kweli mkuuBongo kila mtu anataka afungue fremu ya nguo
Kibarua miaka mitatu unamiliki pesa nyingi hivyo kwanini usiendelee na vibarua hivyo miaka mitatu mingineMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Pantoni utaambiwa uvushe wananchi bure.Na kweli mkuu
Mimi ntakuja weka pantoni
Waafrika siwawezi aiseePantoni utaambiwa uvushe wananchi bure.
Lete meli iende Comoro