Silent ocean niliulizia gharama zao 1 cubic metre USD 450, pamoja na kutoa mzigo bandarini.Usipate taabu. Hiyo hela waweza enda na kurudi na mzigo ukaupata.
Kiufupi watafute GNM au Silent Ocean watakupa taarifa zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweni ukienda kuchukua china hutajirishi mtu?Milioni 20 hela ndogo sana kwa kuanza biashara ya import tena ambayo huna uzoefu nayo.Unachotakiwa kuanya kwanza ni kutafiti bei za bidhaa kwa hapa nchini,kisha ulinganishe na bei ya kule uchina,kisha unagalie na gharama nyingine uone kama katika hio 20 Milioni namna bora ni ipi.Yaani unamaanisha niende kariakoo ninunue mzigo wa milioni 20 mkuu? Mbona kama namtajirisha muuza duka kwa mkupuo?
Mm ninachotaka kujua ni je, hii mil 20 itaniwezesha kwenda china kuchukua mzigo, kuusafirisha hadi TZ? Na si kupata uzoefu wa kipi kinaenda kipi hakiendi, mimi nijue tuu bajeti yangu hii inanitosha au laa
Maana naona kuchukua mzigo wa mil 20 kariakoo kama uwoga wa kuthubutu hivi [emoji3]
Ila shukraan kwq ushauri wako mkuu, tusubiri wengine waje.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni biashara yenye kuzaa mara 2Salaam wanajukwaa,
Pole na mitikasi na mihangaiko ya kila siku, natumai sote ni wazima wa afya njema. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika uhangaikaji nimefanikiwa kufikisha kiasi cha milioni ishirini (20,000,000), nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na reja reja nipo nje kidogo ya Dar mkoa wa Pwani (Bagamoyo)
Naomba ushauri kwa wazoefu wa hii biashara... Je, milioni 20 itaweza kujitosheleza? Ikiwa ni pamoja na kwenda China, kununua mzigo, kuusafirisha hadi kufika TZ.
Kwa taarifa za awali nilizopata ni kwamba:
• Nauli GO & RETURN makadirio ya juu $1800 (Inaweza kupungua).
• Chakula & Malazi $35 per day. Nitatumia siku 3 tu kununua mzigo nakuukabidhi kwa kampuni ya usafirishaji kisha kurudi TZ ili kuepuka kupunguza mtaji kwa gharama kubwa za chakula & malazi! Hivyo $35 kwa siku 3 itakua $105 (Tsh 250,000)
Naomba kwa wazoefu kunisaidia mawazo na ushauri kwa huu mtaji wangu je, utajitosheleza kwenye biashara tajwa? kwa kuuza jumla na rejareja?
NB: Nafahamu kuna corona kwa sasa, hivyo nipo hapa kupata ushauri na kupata taarifa muhimu kwa sasa, hali itakapotulia ndipo natarajia kwenda.
NATANGULIZA SHUKRAN
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi hii biashara unaweza pata 200K kwasiku ??
Portfolio | 2020
Salaam wanajukwaa,
Pole na mitikasi na mihangaiko ya kila siku, natumai sote ni wazima wa afya njema. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika uhangaikaji nimefanikiwa kufikisha kiasi cha milioni ishirini (20,000,000), nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na reja reja nipo nje kidogo ya Dar mkoa wa Pwani (Bagamoyo)
Naomba ushauri kwa wazoefu wa hii biashara... Je, milioni 20 itaweza kujitosheleza? Ikiwa ni pamoja na kwenda China, kununua mzigo, kuusafirisha hadi kufika TZ.
Kwa taarifa za awali nilizopata ni kwamba:
• Nauli GO & RETURN makadirio ya juu $1800 (Inaweza kupungua).
• Chakula & Malazi $35 per day. Nitatumia siku 3 tu kununua mzigo nakuukabidhi kwa kampuni ya usafirishaji kisha kurudi TZ ili kuepuka kupunguza mtaji kwa gharama kubwa za chakula & malazi! Hivyo $35 kwa siku 3 itakua $105 (Tsh 250,000)
Naomba kwa wazoefu kunisaidia mawazo na ushauri kwa huu mtaji wangu je, utajitosheleza kwenye biashara tajwa? kwa kuuza jumla na rejareja?
NB: Nafahamu kuna corona kwa sasa, hivyo nipo hapa kupata ushauri na kupata taarifa muhimu kwa sasa, hali itakapotulia ndipo natarajia kwenda.
NATANGULIZA SHUKRAN
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nakuunga mkono kamanda..!Premij canoon
Tajiri mtarajiwa,
Hicho ni kiwango kilicho na makadirio yenye mafanikio.
Uwe mjuaji hasa na elimu utakayoweza kujiongoza bila mpambe sababu ugenini maamuzi yanahitaji kisomo vinginevyo uwe na mpambe na at least ficha m 10 nyingine kibindoni. Siku hizo biashara ni changa moto.
Ukiwasemaji mzuri sample nyingi utapewa Bure zitakufidia gharama.
Premij canoon
Mkuu 20m ni sawasawa na takribani $9000. Ukienda china huwezi kujaza container ya 40ft au 20ft hata nusu yake manaake unataka ulete loosed cargo.
ambayo hujui utapata lini mtu wa kukuwekea kwenye behewa lake, hapo hujajua TRA wanakulipisha kiasi gani shiping cost hujui paka Dar, na lini utapokea huo mzigo .
Kwa ukweli hiyo pesa ninyingi kwa wakati hu ila kwa biashara ya china hususani spare za piki piki ni peanuts utakimbia mwenyewe huna connection yoyote ya ma clearing agents au TRA, husioni tu watu wanafanya biashara sio rahisi kama unavyo fikiria wako well connected wanatembeza pesa huo mtaji wako unakufa siku ya kwanza. unaenda kupambana na wafanya biashara wakubwa sana ingia kwanza ndo utaelewa biashara ya Bongo iko je.
Sent using Jamii Forums mobile app
Premij canoon
Mkuu 20m ni sawasawa na takribani $9000. Ukienda china huwezi kujaza container ya 40ft au 20ft hata nusu yake manaake unataka ulete loosed cargo.
ambayo hujui utapata lini mtu wa kukuwekea kwenye behewa lake, hapo hujajua TRA wanakulipisha kiasi gani shiping cost hujui paka Dar, na lini utapokea huo mzigo .
Kwa ukweli hiyo pesa ninyingi kwa wakati hu ila kwa biashara ya china hususani spare za piki piki ni peanuts utakimbia mwenyewe huna connection yoyote ya ma clearing agents au TRA, husioni tu watu wanafanya biashara sio rahisi kama unavyo fikiria wako well connected wanatembeza pesa huo mtaji wako unakufa siku ya kwanza. unaenda kupambana na wafanya biashara wakubwa sana ingia kwanza ndo utaelewa biashara ya Bongo iko je.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli watu wana mitaji ya zaidi $100,000 ila wanashinda pale TRA zaidi ya wiki kubembeleza maofisa wa TRA ku clear container zao bila figisufigisu na kubabikizwa ma kodi, ya ajabu hasikudanganyi ntu eti rushwa elisha isha TRA, hiyo 20m haitoshi hata kuhonga ma ofisa wa TRA kutowa container 40ft ilio sheheni vipuri vya pikipiki, aanza biashara hiyo ndo utajua hi Tz inawenyewe wengine ni wasidikizaji wa wenye nchi..........
Sent using Jamii Forums mobile app
Premij canoon
Tajiri mtarajiwa,
Hicho ni kiwango kilicho na makadirio yenye mafanikio.
Uwe mjuaji hasa na elimu utakayoweza kujiongoza bila mpambe sababu ugenini maamuzi yanahitaji kisomo vinginevyo uwe na mpambe na at least ficha m 10 nyingine kibindoni. Siku hizo biashara ni changa moto.
Ukiwasemaji mzuri sample nyingi utapewa Bure zitakufidia gharama.
Ni kweli mkuu,
Naomba Sana ufate ushauri wake.
Kama uko serious unahitaji kufanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza nikupe hongera kwa kuweza kutengeneza kiasi hicho cha pesa japokuwa hujasema kwa sasa unafanya nini,mim nikushauri tu kwamba kama alivyoshauri hapo juu ni kwamba biashara sio hela tu ni zaidi ya pesa na wataalam wa biashara wanasema ujuzi wa biashara ndio mtaji mkubwa zaid kuliko pesa hivyo anza kwanza kupata ujuzi kabla ya kufikiria kwenda china kwani hii ni kutaka kuanzia juu wakat biashara huwa inaanzia chini.Salaam wanajukwaa,
Pole na mitikasi na mihangaiko ya kila siku, natumai sote ni wazima wa afya njema. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika uhangaikaji nimefanikiwa kufikisha kiasi cha milioni ishirini (20,000,000), nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na reja reja nipo nje kidogo ya Dar mkoa wa Pwani (Bagamoyo)
Naomba ushauri kwa wazoefu wa hii biashara... Je, milioni 20 itaweza kujitosheleza? Ikiwa ni pamoja na kwenda China, kununua mzigo, kuusafirisha hadi kufika TZ.
Kwa taarifa za awali nilizopata ni kwamba:
• Nauli GO & RETURN makadirio ya juu $1800 (Inaweza kupungua).
• Chakula & Malazi $35 per day. Nitatumia siku 3 tu kununua mzigo nakuukabidhi kwa kampuni ya usafirishaji kisha kurudi TZ ili kuepuka kupunguza mtaji kwa gharama kubwa za chakula & malazi! Hivyo $35 kwa siku 3 itakua $105 (Tsh 250,000)
Naomba kwa wazoefu kunisaidia mawazo na ushauri kwa huu mtaji wangu je, utajitosheleza kwenye biashara tajwa? kwa kuuza jumla na rejareja?
NB: Nafahamu kuna corona kwa sasa, hivyo nipo hapa kupata ushauri na kupata taarifa muhimu kwa sasa, hali itakapotulia ndipo natarajia kwenda.
NATANGULIZA SHUKRAN
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu ni kweli watu wana mitaji ya zaidi $100,000 ila wanashinda pale TRA zaidi ya wiki kubembeleza maofisa wa TRA ku clear container zao bila figisufigisu na kubabikizwa ma kodi, ya ajabu hasikudanganyi ntu eti rushwa elisha isha TRA, hiyo 20m haitoshi hata kuhonga ma ofisa wa TRA kutowa container 40ft ilio sheheni vipuri vya pikipiki, aanza biashara hiyo ndo utajua hi Tz inawenyewe wengine ni wasidikizaji wa wenye nchi..........
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweni ukienda kuchukua china hutajirishi mtu?Milioni 20 hela ndogo sana kwa kuanza biashara ya import tena ambayo huna uzoefu nayo.Unachotakiwa kuanya kwanza ni kutafiti bei za bidhaa kwa hapa nchini,kisha ulinganishe na bei ya kule uchina,kisha unagalie na gharama nyingine uone kama katika hio 20 Milioni namna bora ni ipi.Huo ni ushauri wangu kwako.Iwapo unahitaji msaada zaidi katika mchakato mzima wa kutafuta taarifa za bei za bidhaa za duka la pikipiki kwa hapa Bongo pamoja na kula uchina pamoja na fursa nyingine na changamoto basi tuwasiliane zaidi.
Karibu
Ni biashara yenye kuzaa mara 2
Nunua mzigo tz....peleka site.....tafuta mafundi wazuri na waaminifu watakuuzia spare zako vyema.
Uza spare original....duka lako litapata jina zuri.
Jitahidi pikipiki uifahamu usiwaache mafundi kila kitu wanaweza kukugombanisha na wateja.
Mfano fundi anaweza kusema chukua spare hii...tatizo litaisha....anafunga halafu bado...inabidi mteja anunue nyingine tena. Hii itasababisha kuonekana unajali tuu uuze spare.
Wape mafundi ushauri
Silent ocean niliulizia gharama zao 1 cubic metre USD 450, pamoja na kutoa mzigo bandarini.
Usipate taabu. Hiyo hela waweza enda na kurudi na mzigo ukaupata.
Kiufupi watafute GNM au Silent Ocean watakupa taarifa zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua box lolote kisha kila pande ipe urefu wa metre 1 utapata jawabu.Samahani mkuu..1 cubic metre unamaanisha kipimo gani? Sijaelewa hapa..
Sent from my iPhone using JamiiForums