Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

View attachment 1759433
Biashara pekee yenye return ya uakika ni Real Estate upande wa property tu.

I can assure you mwaka jana nimeanza na Tsh M10 nimenunua shamba two accers nimeplan viwanja 36 @ M1.5 kwa hesabu za kawaida tu utaona faida ipo wapi?

Now nipo kwenye process ya kufanya usajili wa kampuni official.

Hili game ni tamu no stress za kuangaika what you need ni advertising tu
Kama unahitaji somo karibu officen

0692275216View attachment 1759434
View attachment 1759435
View attachment 1759436

Hongera sana mkuu, office nzuri sana.

Kwa faida ya wengi fafanua hapa, minimum startuo capital na mengine mengi ya kuzingatia kwenye hiyo biashara.
 
Mm niko kariakoo nafanya biashara import kutoka china
Ushaur: Husiende china kufanya biashara yoyote kama hujawai fanya iyo biashara hata mwaka moja kwa kuchukua mzingo hapa hapa bongo coz hutakuwa na experience ya iyo biashara utapoteza ela yako kama upepo
Mm naona anza kwa hapa bongo kwa iyo ela yako then ukipata experience ndio uende china
Watu wanaenda na ela nyingi sana china tena izo biashara ya spare za pikipiki ni 40ft ndio wanaoata faida bt loose cargo hakuna ela utapoteza ela yako mkuu cha kabisa
Kuna biashara wapo matajir wengi huwezi fanya na mtaji wa million 100 kwenda chini. Vitenge, spare za pikipiki,viatu nk
Kama utapata ela basi ya soda tu kutoboa huwezi coz wanaobeba 40ft wanaweka bei chini sana ww wa loose cargo huwezi pata faida mkuu lamda kipindi cha kikwete ulikuwa unaweza pata faida coz mzunguko ni mkubwa nw mzunguko ni mdogo utachoma ela yako tu
Kwenda china malazi viza nauli lazima 4m ikate hapo bado uo mzingo hujanunua
Sasa utapata faida kiasi gani hapo mkuu ?


Sent using Jamii Forums mobile app
Bro naomba uwe mentor kwa sector hii
 
View attachment 1759433
Biashara pekee yenye return ya uakika ni Real Estate upande wa property tu.

I can assure you mwaka jana nimeanza na Tsh M10 nimenunua shamba two accers nimeplan viwanja 36 @ M1.5 kwa hesabu za kawaida tu utaona faida ipo wapi?

Now nipo kwenye process ya kufanya usajili wa kampuni official.

Hili game ni tamu no stress za kuangaika what you need ni advertising tu
Kama unahitaji somo karibu officen

0692275216View attachment 1759434
View attachment 1759435
View attachment 1759436
Good idea
 
Hongera sana mkuu, office nzuri sana.

Kwa faida ya wengi fafanua hapa, minimum startuo capital na mengine mengi ya kuzingatia kwenye hiyo biashara.

Hapa capital milion 8 tu Mkuu

Million 2 nilifanyia maandalizi ya project kusafisha eneo na kutoa visiki na kufanya planning kwa ujumla

Kila accre Tsh 300k Total = 600k
Ku design barabara 400k
Kukata viwanja na kutengeneza bicon zake 576
Tsh 900k

Jumla ya maandaizi project mzima Tsh 1.9

Kikubwa cha kuzingatia ni zone unapotaka kukufanya biashara [emoji1370]

fanya research ya bei ya mashamba na kufatilia ualali wa wamiliki na ramani zake kwa watu wa mipango miji hasa kwa town planners.

Watakupa muongozo utakao kuwezesha kujua maeneo yalio ya makazi.

Lakini pia wakati wa ununuzi make sure usipime eneo kwa tape tumia GPS itakupa vipo sahihi vya ukubwa wa eneo.
 
Hongera office nzuri... tufafanulie hapa hapa mkuu

Hapa capital milion 8 tu Mkuu

Million 2 nilifanyia maandalizi ya project kusafisha eneo na kutoa visiki na kufanya planning kwa ujumla

Kila accre Tsh 300k Total = 600k
Ku design barabara 400k
Kukata viwanja na kutengeneza bicon zake 576
Tsh 900k

Jumla ya maandaizi project mzima Tsh 1.9

Kikubwa cha kuzingatia ni zone unapotaka kukufanya biashara [emoji1370]

fanya research ya bei ya mashamba na kufatilia ualali wa wamiliki na ramani zake kwa watu wa mipango miji hasa kwa town planners.

Watakupa muongozo utakao kuwezesha kujua maeneo yalio ya makazi.

Lakini pia wakati wa ununuzi make sure usipime eneo kwa tape tumia GPS itakupa vipo sahihi vya ukubwa wa eneo.
 
Hapa capital milion 8 tu Mkuu

Million 2 nilifanyia maandalizi ya project kusafisha eneo na kutoa visiki na kufanya planning kwa ujumla

Kila accre Tsh 300k Total = 600k
Ku design barabara 400k
Kukata viwanja na kutengeneza bicon zake 576
Tsh 900k

Jumla ya maandaizi project mzima Tsh 1.9


Kikubwa cha kuzingatia ni zone unapotaka kukufanya biashara [emoji1370]

fanya research ya bei ya mashamba na kufatilia ualali wa wamiliki na ramani zake kwa watu wa mipango miji hasa kwa town planners.

Watakupa muongozo utakao kuwezesha kujua maeneo yalio ya makazi.

Lakini pia wakati wa ununuzi make sure usipime eneo kwa tape tumia GPS itakupa vipo sahihi vya ukubwa wa eneo.

Brother sorry kwa swali lingine...

Capital ya 8M ni pamoja na kunua shamba, kusafisha, kukata viwanja hadi kukodi office?
 
Hapa capital milion 8 tu Mkuu

Million 2 nilifanyia maandalizi ya project kusafisha eneo na kutoa visiki na kufanya planning kwa ujumla

Kila accre Tsh 300k Total = 600k
Ku design barabara 400k
Kukata viwanja na kutengeneza bicon zake 576
Tsh 900k

Jumla ya maandaizi project mzima Tsh 1.9


Kikubwa cha kuzingatia ni zone unapotaka kukufanya biashara [emoji1370]

fanya research ya bei ya mashamba na kufatilia ualali wa wamiliki na ramani zake kwa watu wa mipango miji hasa kwa town planners.

Watakupa muongozo utakao kuwezesha kujua maeneo yalio ya makazi.

Lakini pia wakati wa ununuzi make sure usipime eneo kwa tape tumia GPS itakupa vipo sahihi vya ukubwa wa eneo.
Inaonekana ni uwekezaji mzuri sana , lakini linahitajjka somo kubwa juu ya maswala ya ardhi hapa...! Viwanja vyako umeshavipima tayari je unafanyaje vitambulike kiserikali.. au ni ule wakato wa ufatiliaji wa hati?
 
Brother sorry kwa swali lingine...

Capital ya 8M ni pamoja na kunua shamba, kusafisha, kukata viwanja hadi kukodi office?

Mpaka sasa nimeuza viwanja 28 nimeweza kupata office na equipments zake usafiri Rav 4 old model
Kwa ajili ya kupeleka wateja site na cash nyingine ipo bank.

Naanza kutafuta project Mpya eka tatu au nne.
 
Inaonekana ni uwekezaji mzuri sana , lakini linahitajjka somo kubwa juu ya maswala ya ardhi hapa...! Viwanja vyako umeshavipima tayari je unafanyaje vitambulike kiserikali.. au ni ule wakato wa ufatiliaji wa hati?

Sio somo kubwa sana ni kawaida tu mi mwenyewe sikuwa na uzoefu Bali ni ile tu kujituma na kuwa na njaa ya mafanikio.

Lakini pia la kiserekali ya kijiji na kitongoji huwa natoa taarifa na hati za awali huwa wanatoa wao kama wasamizi wa mauziano ya ardhi na ushuru 10% huwa nalipa kwa kilia kiwanja.
 
Mpaka sasa nimeuza viwanja 28 nimeweza kupata office na equipments zake usafiri Rav 4 old model
Kwa ajili ya kupeleka wateja site na cash nyingine ipo bank.

Naanza kutafuta project Mpya eka tatu au nne.

Pis unauza kwa cash au na kwa mkopo?
 
Sio somo kubwa sana ni kawaida tu mi mwenyewe sikuwa na uzoefu Bali ni ile tu kujituma na kuwa na njaa ya mafanikio.

Lakini pia la kiserekali ya kijiji na kitongoji huwa natoa taarifa na hati za awali huwa wanatoa wao kama wasamizi wa mauziano ya ardhi na ushuru 10% huwa nalipa kwa kilia kiwanja.
Huu ushuru ni baada ya wewe kuuza kiwanja?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unakosea. Nani kakuambia hayo yote? Unataka kufanya boashara kkoo ya spare kwa million 20? Kodi ya frem kkoo waijua? Nauli ya china go and return? Accomodations? Meals? Nani anaenda mzururisha? Mtafsiri? Huo mzigo ananunua kwa hela ipi hapo? Hivi mnachukulia poa mtu kuwa hapa kkoo ama. Ushuru wa bandarini? Leseni za biashara etc? Mil 20 kwa china ni peanut money kwa mtu anayetaka soko la kkoo. Ni hasara kiujumla.
Kwenye miti hakuna wajenzi, una 20 ml unauliza watu ufanye biashara gani?
Nitumie lugha ya hayati magufuli kwamba mambo mengine ya Ajabu kabisa!
 
Kwenye miti hakuna wajenzi, una 20 ml unauliza watu ufanye biashara gani?
Nitumie lugha ya hayati magufuli kwamba mambo mengine ya Ajabu kabisa!

Nadhani kila mtu anakushangaa mkuu, hata kusoka hujui?

Kichwani umejaza mawe?
 
Back
Top Bottom