Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
- Thread starter
- #61
View attachment 1759433
Biashara pekee yenye return ya uakika ni Real Estate upande wa property tu.
I can assure you mwaka jana nimeanza na Tsh M10 nimenunua shamba two accers nimeplan viwanja 36 @ M1.5 kwa hesabu za kawaida tu utaona faida ipo wapi?
Now nipo kwenye process ya kufanya usajili wa kampuni official.
Hili game ni tamu no stress za kuangaika what you need ni advertising tu
Kama unahitaji somo karibu officen
0692275216View attachment 1759434
View attachment 1759435
View attachment 1759436
Hongera sana mkuu, office nzuri sana.
Kwa faida ya wengi fafanua hapa, minimum startuo capital na mengine mengi ya kuzingatia kwenye hiyo biashara.