Nina milioni 22, nahitaji wazo zuri la biashara kwa mkoa wa Arusha

Niko na business plan ambayo ndio niko nayo na nimeshanunua baadhi ya mitambo bado inaitajika kiasi flani kukalilisha baadhi ya machine nyingine kama uko tayari joint venture 60/40 tunauhakika wa 100, 000Tsh kwa kila siku kiwango cha chini, tunaweza tengeneza mpaka 500,000Tsh kwa siku provided good marketing and plans

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru kwa mawazo yako kiongozi
 
Nakushauri vet mechi za champions league wiki ijayo.
- jumanne na jumatano kutakuwa na champions league , mpe man City, mpe Bayern, alafu weka over 1.5 kwenye mechi ya Madrid vs liver.
Hapo hukosi odds ya 2.5 ambapo ukiweka mil 22 inakuja mil 45.
Fanya hivyo and thank me later
 
Nashukur kwa wazo lako mkuu.
 
Barikiwa mkuu
 
Nashukr kwa Wazo zuri, nmejarb kufuatilia CRDB na NMB kupata kibali chao na vifaa vya kazi, majibu yao ni lazima uwe umedumu kwny biashara atleast 2yrz kiongozi.
 
Naomba business plan yako niione
 
Watumishi wa umma ni waoga[emoji16][emoji16]
 
Nashukr kwa Wazo zuri, nmejarb kufuatilia CRDB na NMB kupata kibali chao na vifaa vya kazi, majibu yao ni lazima uwe umedumu kwny biashara atleast 2yrz kiongozi.
Hakuna linalo shindikana chini ya jua. Ukiongea nao vizuri, unaweza ukazipata hizo mashine hata kabla ya hiyo miaka miwili.

Wakati unaendelea kuwasubiria hao jamaa wa benki, unaweza ukaanza na miamala ya simu ambayo inapatikana ndani ya mwezi mmoja tu.
 
Fact mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…