Nashukuru kwa mawazo yako kiongoziHabari wanajukwaa.
Ee Bwana ee, nimekuja kwenu wana jukwaa, kuomba tusaidiane mawazo kama kichwa cha habari kinavyosomeka.
Baada ya kumaliza chuo 2019, Mungu alinifungulia mlango nikapata kazi ya miaka miwili na NGO x hapa Nchini, kutokana na msoto uliopo kitaa niliona ni vyema nijibane niweze kusave pesa walau nifanye kitu kitakacho nisaidia. Mkataba wangu umefika tamati na namshukuru Mungu nimeweza kusave takribani milion 22.
Nilikuwa na mawazo mawili, la kwanza ni kujenga nyumba kwa kuwa nilishanunua kiwanja.
La pili, ni kufanya biashara, ila kwa bahati mbaya bado sijawa na wazo zuri la biashara.
Naombeni mawazo yenu, nijenge au nifanye biashara, kama ni biashara Je, unahisi biashara gani nzuri katika mkoa wa Arusha?
========
Baadhi ya mawazo ya wadau
Pia soma: Nina mtaji wa Milioni 35 nataka kufanya biashara Kariakoo
Ndiyo kiongozi, miaka 2Umefanya kazi miaka miwili umesave million 22?
Aisee
Nashukr Kiongozi kwa wazo lakoUshauri wangu mkuu JENGA NYUMBA JENGA NYUMBA JENGA NYUMBA, then ingia tena kitaa upambane.
Nashukur kwa wazo lako mkuu.Chukua milioni 18 weka fixed account mwaka mmoja. Baki na milioni 4 ambazo ndio utafanyia pilot.
Ingia chimbo tafuta elimu, maarifa, taarifa sahihi na kila kitu kuhusu biashara flani. Ukishapata kwa kushirikiana na waozefu na wadau wengine (ambao hawajui kama una hela) anza hiyo biashara kwa kiasi kidogo ulichobakiza.
Ukishapata uzoefu nido baada ya mwaka utoe kiasi flani kati ya hizo 18M ndio uendelee.
Barikiwa mkuuUshawahi kufanya biashara? Kutumbukiza mzigo wote huo kwenye biashara yanaweza kuja kuwa majuto baadae.
Weka lengo anza na biashara ya mtaji usiozidi mil5 kwanza uusome mchezo. Me si mtaalamu wa biashara, ila kazi kwako kutafuta biashara isiyozidi mtaji wa hiyo mil5. Ila kwa siku ikuingizia faida ya walau 20k na kuendelea.
Nashukr kwa Wazo zuri, nmejarb kufuatilia CRDB na NMB kupata kibali chao na vifaa vya kazi, majibu yao ni lazima uwe umedumu kwny biashara atleast 2yrz kiongozi.Fanya mchakato wa tin namba na leseni ya biashara. Tafuta kijiwe kilicho changamka, anzisha biashara ya miamala ya huduma nyingine za kibenki. Simamia mwenyewe. Kila mwezi utakuwa unakula tu kamisheni.
Katika hicho kijiwe, uza na vitu vingine vya ziada kama kuuza na akubadilisha mitungi ya gesi, weka friji yenye mlango wa kioo kwa ajili ya kuuza vinywaji baridi, nk.
Usiwe na uoga wa maisha kwa kukimbilia kujenga nyumba, kama sisi watumishi wa umma wenye umri mkubwa na tulio na wategemezi lukuki. Nyumba haizalishi! Na kama utajenga ya kukuzalishia, bado itakuzalishia kiasi kidogo sana kwa mwezi ukilinganisha na pesa uliyo izika!
Nashukr...kwa wazo zuriTafuta Site Nzuri fungua Pharmacy
Naomba business plan yako niioneNiko na business plan ambayo ndio niko nayo na nimeshanunua baadhi ya mitambo bado inaitajika kiasi flani kukalilisha baadhi ya machine nyingine kama uko tayari joint venture 60/40 tunauhakika wa 100, 000Tsh kwa kila siku kiwango cha chini, tunaweza tengeneza mpaka 500,000Tsh kwa siku provided good marketing and plans
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Sema kwa wastani na siyo maximamuMaximamu 1 million kwa mwezi anasave.
Watumishi wa umma ni waoga[emoji16][emoji16]Fanya mchakato wa tin namba na leseni ya biashara. Tafuta kijiwe kilicho changamka, anzisha biashara ya miamala ya huduma nyingine za kibenki. Simamia mwenyewe. Kila mwezi utakuwa unakula tu kamisheni.
Katika hicho kijiwe, uza na vitu vingine vya ziada kama kuuza na akubadilisha mitungi ya gesi, weka friji yenye mlango wa kioo kwa ajili ya kuuza vinywaji baridi, nk.
Usiwe na uoga wa maisha kwa kukimbilia kujenga nyumba, kama sisi watumishi wa umma wenye umri mkubwa na tulio na wategemezi lukuki. Nyumba haizalishi! Na kama utajenga ya kukuzalishia, bado itakuzalishia kiasi kidogo sana kwa mwezi ukilinganisha na pesa uliyo izika!
Tatizo lipo kwenye usimamizi. Muda mwingi unabanwa na kazi.Watumishi wa umma ni waoga[emoji16][emoji16]
Hakuna linalo shindikana chini ya jua. Ukiongea nao vizuri, unaweza ukazipata hizo mashine hata kabla ya hiyo miaka miwili.Nashukr kwa Wazo zuri, nmejarb kufuatilia CRDB na NMB kupata kibali chao na vifaa vya kazi, majibu yao ni lazima uwe umedumu kwny biashara atleast 2yrz kiongozi.
Fact mzeeFanya mchakato wa tin namba na leseni ya biashara. Tafuta kijiwe kilicho changamka, anzisha biashara ya miamala ya huduma nyingine za kibenki. Simamia mwenyewe. Kila mwezi utakuwa unakula tu kamisheni.
Katika hicho kijiwe, uza na vitu vingine vya ziada kama kuuza na akubadilisha mitungi ya gesi, weka friji yenye mlango wa kioo kwa ajili ya kuuza vinywaji baridi, nk.
Usiwe na uoga wa maisha kwa kukimbilia kujenga nyumba, kama sisi watumishi wa umma wenye umri mkubwa na tulio na wategemezi lukuki. Nyumba haizalishi! Na kama utajenga ya kukuzalishia, bado itakuzalishia kiasi kidogo sana kwa mwezi ukilinganisha na pesa uliyo izika!