Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo tatu au zaidi ya hiyo kila wiki?

Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo tatu au zaidi ya hiyo kila wiki?

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka.
 
Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki, au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka
Ziogope sana biashara unazoambiwa zitakupa faida kubwa ndani ya muda mfupi.
Anyway jaribu kupeleka mbao na mchele kule dodoma au dar.

Au waweza anzisha minibank eneo ulilopo, ukishindwa chukua milion 5, nunua kuku 100 wa mayai wenye umri wa miezi miwili, mwezi unaofuatia wanaanza kutaga. Kusanya mayai tafuta hoteli na sehemu za chipsi uza. Wauzie hata watengeneza keki.

Hiyo 20 inayobaki itunze. Maana kama una hela nyingi hivyo na hujui biashara ya kufanya basi jua ya kwamba unaelekea kuipoteza hiyo hela yote.
Mungu akuongoze ndugu yangu.
 
Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki, au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka
Kama uko serious tuagize Oxygen concentration devices tusambaze kwenye hospitals na watu binafsi, ni mfumo mzuri kwa sasa wakusaidia wenye matatizo ya kupumua especially kwenye janga ili la Covid.Hii ni guarantee to make double profit nawasiliana na manufacturer.
IMG_20210522_090545_035.jpg
 
biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka
Pia ni vyema kuangalia upande wa pili, Hasara.

- Iwapo faida ni kubwa, basi pia hasara ya biasha tegemea kuwa kubwa.

- Kwa kuwa matarajio ni kupata m25/3 kila wiki basi pia, tegemea kupoteza m25/3 kwa wiki iwapo biashara itaenda ndivyo sivyo.

The Most Important Rule of Investing: "never invest money that you can't afford to lose."

Ila swali la msingi linabakia pale pale kuwa ni biashara gani hiyo?? itakayokupa faida ya asilimia ya asilimia 33 ( 33%) ya mtaji wako kila wiki?? 🤔
 
Ziogope sana biashara unazoambiwa zitakupa faida kubwa ndani ya muda mfupi.
Anyway jaribu kupeleka mbao na mchele kule dodoma au dar.

Au waweza anzisha minibank eneo ulilopo, ukishindwa chukua milion 5, nunua kuku 100 wa mayai wenye umri wa miezi miwili, mwezi unaofuatia wanaanza kutaga. Kusanya mayai tafuta hoteli na sehemu za chipsi uza. Wauzie hata watengeneza keki.

Hiyo 20 inayobaki itunze. Maana kama una hela nyingi hivyo na hujui biashara ya kufanya basi jua ya kwamba unaelekea kuipoteza hiyo hela yote.
Mungu akuongoze ndugu yangu.
Hiyo ni risky sanaa tena kwasasa hivi 25m kwenye biashara za bongo sio nyingi ni peanut....nikupe mfano mzuri sasa hivi kuna wimbi la mini supermarket hapa dar ila jiulize mtaji wao na faida yao ni shilling ngapi?......kwa uzoefu wangu minisuper Market ya kawaida yenye liquors za kutosha sio chini ya 50m, ila mauzo tu kwa siku ni 300k to 500k, na kawaida faida ya supermarket ni 2% ya mauzo sasa hapo jiulize faida yake ni shillings ngapi kwa mauzo ya 500k........
 
Nipo hapa kuwasaidia wasiojua hesabu:

0.25 × 25,000,0000=6,250,000

Jamaa anataka biashara ambayo itamuingizia 6.25 Million kwa wiki moja kwa Mtaji wa Million 25.

Yaani ndani ya Mwezi mmoja awe amepata faida ya Million 25. Yaani kwa mwaka mmoja (52 weeks) awe na faida ya Million 325.

Yaani kwa mwaka awe na Jumla ya Million 350, ukijumlisha na mtaji wake.

Biashara mimi sijui, ila hesabu najua. Hayo mtamshauri ninyi.

Aisee!
Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki, au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka
 
Hiyo ni risky sanaa tena kwasasa hivi 25m kwenye biashara za bongo sio nyingi ni peanut....nikupe mfano mzuri sasa hivi kuna wimbi la mini supermarket hapa dar ila jiulize mtaji wao na faida yao ni shilling ngapi?......kwa uzoefu wangu minisuper Market ya kawaida yenye liquors za kutosha sio chini ya 50m, ila mauzo tu kwa siku ni 300k to 500k, na kawaida faida ya supermarket ni 2% ya mauzo sasa hapo jiulize faida yake ni shillings ngapi kwa mauzo ya 500k........
Hakuna sehemu niliyozungumzia minsupermarket hapo..
Nimezungumzia minbank...awe wakala wa crdb, nmb ,airtel, na vingine huko.
 
Pia ni vyema kuangalia upande wa pili, Hasara.

- Iwapo faida ni kubwa, basi pia hasara ya biasha tegemea kuwa kubwa.

- Kwa kuwa matarajio ni kupata m25/3 kila wiki basi pia, tegemea kupoteza m25/3 kwa wiki iwapo biashara itaenda ndivyo sivyo.

The Most Important Rule of Investing: "never invest money that you can't afford to lose."

Ila swali la msingi linabakia pale pale kuwa ni biashara gani hiyo?? itakayokupa faida ya asilimia ya asilimia 33 ( 33%) ya mtaji wako kila wiki?? 🤔
Yani ndani ya mwezi mmoja hela yake iwe imerudi na aanze kula faida
 
Mkubwa tafuta kasite ka kishikaji piga m-pesa utapata kama 2m per month,achana na ndoto za ¾
 
Hakuna sehemu niliyozungumzia minsupermarket hapo..
Nimezungumzia minbank...awe wakala wa crdb, nmb ,airtel, na vingine huko.
Nimetoa mfano huo kuonyesha kwamba hiyo pesa yake ni ndogo mkuu... hata min credit microfinance kupewa leseni ni lazima uwe na bank deposite isio pungua 80m, uonyeshe uweze wa kuhudumia wateja wako kwa wakati wowote, sasa 25m haifiki hata minimum requirement deposit.
 
Ziogope sana biashara unazoambiwa zitakupa faida kubwa ndani ya muda mfupi.
Anyway jaribu kupeleka mbao na mchele kule dodoma au dar.

Au waweza anzisha minibank eneo ulilopo, ukishindwa chukua milion 5, nunua kuku 100 wa mayai wenye umri wa miezi miwili, mwezi unaofuatia wanaanza kutaga. Kusanya mayai tafuta hoteli na sehemu za chipsi uza. Wauzie hata watengeneza keki.

Hiyo 20 inayobaki itunze. Maana kama una hela nyingi hivyo na hujui biashara ya kufanya basi jua ya kwamba unaelekea kuipoteza hiyo hela yote.
Mungu akuongoze ndugu yangu.
Mkuu kuku gani hao wanaotaga wakiwa na umri wa miezi 3?
 
Nipo hapa kuwasaidia wasiojua hesabu:

0.25 × 25,000,0000=6,250,000

Jamaa anataka biashara ambayo itamuingizia 6.25 Million kwa wiki moja kwa Mtaji wa Million 25.

Yaani ndani ya Mwezi mmoja awe amepata faida ya Million 25. Yaani kwa mwaka mmoja (52 weeks) awe na faida ya Million 325.

Yaani kwa mwaka awe na Jumla ya Million 350, ukijumlisha na mtaji wake.

Biashara mimi sijui, ila hesabu najua. Hayo mtamshauri ninyi.

Aisee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Labda illegal b'ness
 
Nina kitabu cha ufugaji wa kuku ni PM nikutumie kwa bei elekezi.
Nashkuru mkuu Ila nataka kukuhakikishia hakuna kuku ambae anaweza kutaga akiwa na umri wa miezi 3, labda ungesema ananunua kuku let's say Wana umri wa miezi 4 alafu yeye akae nao Kwa mwezi 1 waanze kutaga ili apunguze gharama za chakula na risk za kupoteza kuku wengi kutokana na magonjwa
 
Nipo hapa kuwasaidia wasiojua hesabu:

0.25 × 25,000,0000=6,250,000

Jamaa anataka biashara ambayo itamuingizia 6.25 Million kwa wiki moja kwa Mtaji wa Million 25.

Yaani ndani ya Mwezi mmoja awe amepata faida ya Million 25. Yaani kwa mwaka mmoja (52 weeks) awe na faida ya Million 325.

Yaani kwa mwaka awe na Jumla ya Million 350, ukijumlisha na mtaji wake.

Biashara mimi sijui, ila hesabu najua. Hayo mtamshauri ninyi.

Aisee!
🤣🤣🤣Ha ha ha ha maisha yangekuwa rahisi hivyo atakavyo basi tungeishi milele duniani....
 
Back
Top Bottom